SAD: Tanzania is a setback to African integration, imposes new visa requirements on several African countries!

Acha iwe hivyo. Kuruhusu hizo nchi visa on arrival unategemea nini kiusalama wa Tanzania?
 
Kwa hizo nchi zilizotajwa hapo acha tuwakazie tu. Sio wazuri usipokua nao makini.
 
Acha iwe hivyo. Kuruhusu hizo nchi visa on arrival unategemea nini kiusalama wa Tanzania?
Nilikuwa nawaza hivyo mkuu.. Maybe the Immigration have reasons (i.e. Security) to block this.
 
Wauza ngada na matapeli hao wanalalamika
 
Hao wengine sawa tu... Ila Somalia wange waacha kidogo... Ndugu zetu Hawa... Wakina #Bashe #Rage #City Mall CEO #AFS CEO.... Na Mimi CEO....!

Naomba kushauri hiyo sheria ya kufuta wafute na kwa warundi warwanda waganda na wakenya... Labda tuwa fikirie waganda... Zambia wale na ndugu zao wachina tuwa ache... Wa msumbiji tuwa fute na wenyewe na wamalawi...
 
Haha ujue haya mambo ni reciprocal.
Ukifuta automatically na wao wanafuta. Kwa hiyo saiv mbongo kwenda Nigeria lazima uombe visa.
Na hizo nchi ulizotaja sipati picha zote zikisema watanzania kwenda kwao lazima uombe visa. Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi...….
Wewe haya maoni yako naamini hukuyafikiria vizuri
 
Mkuu bila kushawishiwa na mtu Wala kupewa hongo au fedha... Nikiwa na akili timamu na afya njema ya ubongo... Hayo ni maoni yangu ambay Sina Shaka nayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…