joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Viko wapi? Tufanye basi Sadala kavaa saa fake.Hujaona vigezo jamaa alivyoviweka hapo au unajitia upofu,
n.k ukimaanisha "nakushindwa"?MTV Africa, Channel 0 n.k
Sio bavicha tu na sisi konde gengi tunapita naye humo humo na huu upepo wa kisiasa sema wimbo wetu tu umechomolewa youtubes🤣🤸♂️🐒Safari hii atajuta kuwajua bavicha 😀😀
Haya nenda kaitizame "ama zetu ama zao" video rmx.Hujaona vigezo jamaa alivyoviweka hapo au unajitia upofu,
[emoji3][emoji3]Kwani kuna style gani nyingine ya kulala tofaut na hzo
Ndio ndio kuna kupata na kushindwa, hivyo mazingira yote anayafahamun.k ukimaanisha "nakushindwa"?
Alimsahau Mahela alimkumbuka Babu Tare tuKasoro tu tuzo ndo imemshinda kuiba