SADC imetia aibu Msumbiji

SADC imetia aibu Msumbiji

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
Mmefuga magaidi kwa miaka 4 mnajishauri tu bila kuchukua maamuzi ya kijeshi.

Rwanda wamefanya uamuzi ndani ya wiki 3 wamekomboa miji kadhaa na msako unaendelea huko misituni.

Tanzania tuliwafuga magaidi Kibiti hadi walipoleta madhara ndio tukaamka.

Magaidi wapo Msumbiji na Tanzania kikubwa maamuzi ya haraka yachukuliwe kuwafyeka.

Tukicheka na magaidi tutavuna mabua. Congo na Africa ya kati nao wanalia, magaidi wamejiimarisha balaa
 
Mmefuga magaidi kwa miaka 4 mnajishauri tu bila kuchukua maamuzi ya kijeshi.

Rwanda wamefanya uamuzi ndani ya wiki 3 wamekomboa miji kadhaa na msako unaendelea huko misituni.

Tanzania tuliwafuga magaidi Kibiti hadi walipoleta madhara ndio tukaamka.

Magaidi wapo Msumbiji na Tanzania kikubwa maamuzi ya haraka yachukuliwe kuwafyeka.

Tukicheka na magaidi tutavuna mabua. Congo na Africa ya kati nao wanalia, magaidi wamejiimarisha balaa
Magaidi wengine si wako mahakamani akina Mbowe? au unazungumzia magaidi wa aina gani?
 
Msumbiji linchi likubwa linashindwa kukabiliana na Magaidi.
Rwanda kawafyeka kwa wiki tatu tu.
Msumbiji wamebaki kuimba tu nyimbo za ukombozi wa Msumbiji
Msumbiji hakuna magaidi. Ni siasa chafu za Nyusi kutaka kuwatakwa wanamsumbiji kama misukule kwa kisingizio cha amani na utulivu.

Rwanda hawana uwezo wa kupamabana na magaidi.
 
Msumbiji hakuna magaidi. Ni siasa chafu za Nyusi kutaka kuwatakwa wanamsumbiji kama misukule kwa kisingizio cha amani na utulivu.

Rwanda hawana uwezo wa kupamabana na magaidi.
Hamza bana,sio wa mchezo yule jamaa.
 
Mmefuga magaidi kwa miaka 4 mnajishauri tu bila kuchukua maamuzi ya kijeshi.

Rwanda wamefanya uamuzi ndani ya wiki 3 wamekomboa miji kadhaa na msako unaendelea huko misituni.

Tanzania tuliwafuga magaidi Kibiti hadi walipoleta madhara ndio tukaamka.

Magaidi wapo Msumbiji na Tanzania kikubwa maamuzi ya haraka yachukuliwe kuwafyeka.

Tukicheka na magaidi tutavuna mabua. Congo na Africa ya kati nao wanalia, magaidi wamejiimarisha balaa
Msumbiji haikuwa willing kuruhusu SADC kuchukua hatua I think so. Tukumbuke ni nchi huru. Na haya mambo yanachangikiwa na mambo mengine mengi nyuma ya pazia yasiyojulikana wazi wazi.
Tanzania iwe serious sasa kufuatilia issues za ugaidi. Tukicheka na nyani shambani ipo siku tutavuna mabua
 
IGP sirro mkuu wa jeshi la polichichiemu anasema marehemu Hamza kada kindakindaki wa chichiemu alikuwa gaidi sugu
 
Nimeshangazwa sana kuona askari wa Msumbiji wakiongozwa na Rwanda kwenye mapambano, Jeshi la Frelimo? limemomonyoka hivyo
 
Mmefuga magaidi kwa miaka 4 mnajishauri tu bila kuchukua maamuzi ya kijeshi.

Rwanda wamefanya uamuzi ndani ya wiki 3 wamekomboa miji kadhaa na msako unaendelea huko misituni.

Tanzania tuliwafuga magaidi Kibiti hadi walipoleta madhara ndio tukaamka.

Magaidi wapo Msumbiji na Tanzania kikubwa maamuzi ya haraka yachukuliwe kuwafyeka.

Tukicheka na magaidi tutavuna mabua. Congo na Africa ya kati nao wanalia, magaidi wamejiimarisha balaa
Askari wa Rwanda ni wazoefu kwenye oparesheni za msituni na pia wako kwenye mishe za kulinda aman sehemu nyingi duniani.

Askari wa bongo mkiwapeleka huko kwenye oparesheni wenye watoto na wake wanaanza kulia Lia eti mnaenda kuua watoto wao.

Sasa sijui walijiunga jeshini kwa Kazi gani
 
hamna magaidi hapa ni kutaka kututawala zaidi ,Yaani watusahaulishe juu ya madai ya Tume Huru na Katiba mpya.

TUME MPYA YA UCHAGUZI ili kuondoa magaidi aka teroristi ,wanavamia watu usiku na kuwaibia karafuu .
 
Ccm na mtoto wake wakambo Frelimo hawanauwezo wa kushughulikia Mambo ya msingi
 
Nimeshangazwa sana kuona askari wa Msumbiji wakiongozwa na Rwanda kwenye mapambano, Jeshi la Frelimo? limemomonyoka hivyo
Naona jeshi la Msumbiji halina vifaa,morali iko chini, discipline iko chini Sana(hawana support ya locals).Msumbiji iliwakodisha hadi mercenaries kutoka Urusi,Ureno lkn wakakimbia mziki wa hao waitwao magaidi.Na magaidi yakaendelea kutamba tu.
 
Askari wa Rwanda ni wazoefu kwenye oparesheni za msituni na pia wako kwenye mishe za kulinda aman sehemu nyingi duniani.

Askari wa bongo mkiwapeleka huko kwenye oparesheni wenye watoto na wake wanaanza kulia Lia eti mnaenda kuua watoto wao.

Sasa sijui walijiunga jeshini kwa Kazi gani
Dah Ila we jamaa.
 
hamna magaidi hapa ni kutaka kututawala zaidi ,Yaani watusahaulishe juu ya madai ya Tume Huru na Katiba mpya.

TUME MPYA YA UCHAGUZI ili kuondoa magaidi aka teroristi ,wanavamia watu usiku na kuwaibia karafuu .
😄😄😄😄 Kwamba masela wanaiba karafuu
 
Askari wa bongo mkiwapeleka huko kwenye oparesheni wenye watoto na wake wanaanza kulia Lia eti mnaenda kuua watoto wao.
M23 ulikuwa wapi? Wakati wa Jakaya Kikwete hadhi ya Jeshi la Wananchi ilirudi kwa kasi ya ajabu
 
Tuna askari ambao kuipiga risasi moving target ni zero but target ambayo imesimama au ipo chini maiti hapo ndio utaona wanavyojifanya mashujaa,eti unakimbilia maiti kuichukua bunduki halafu shujaa,unamkaribia mtu mwenye SMG na pistol
 
Back
Top Bottom