SADC yaitisha Kikao cha Pamoja na EAC ili kuzuia Vita ya DRC isisambae

SADC yaitisha Kikao cha Pamoja na EAC ili kuzuia Vita ya DRC isisambae

Kisiki.

images (2).jpeg
 
Weka clip ndugu, hapa doma siwapati haocitzen
 
Congo hawapo serious, wacha iwe annexed tu.

Ni sawa na Kenya (ambayo ina Masai) itumie Masai wa Tanzania kuchezea maeneo ambayo ni vitega uchumi vya nchi (hifadhi za wanyama pori kaskaIni).

Au Chinga wa Msumbiji wahatarishe uwekezaji wa Gas Lindi na Ntwara.

Ukiacha wa kazi wa East Congo kuwa na asili ya nchi kadhaa ikiwamo Tanzania; strategically kwa Congo hiyo region ni muhimu mno for national security yao.

60% ya cobalt duniani reserve inadaiwa hiko hapo; bado rare earth mineral ambazo luluki. Dunia ya leo ambayo inakuwa digitised hizo mineral ni precious commodity katika uchumi wa nchi yeyote duniani (rare earth mineral ndio kila kitu)..

Sasa wewe eneo ambalo lina kitega uchumi muhimu kwa mapato ya nchi yako na unaweza tumia kama bargaining chip kwenye majadiliano ya kimataifa. Huko huna ulinzi imara.

Unajua Congo ikisema inazuia export za rare mineral ni sawa na Saudi Arabia waseme wanakata supply ya mafuta. Kesho tu bei ya rare earth mineral inapanda bei na wazungu lazima watafute sababu ya kwenda kumtandiika Tshekedi waweke mwingine atakae wauzia.

Sasa why on earth hilo eneo serikali ya Congo ulinzi wake inalifanyia mzaha hakuna strong military presence.

Upuuzi wa Congo ni too much wacha Kagame sijui Museveni watafute mbinu za ku-annex tu. useless Congolese they are not serious people.
 
Kila siku vikao vikao akati kagame mnamuona, na kila siku anajibu mipasho

Fanyeni maamuzi magumu.
Wanakwepa solution wanakazi ya kuzungukazunguka. One has to be sucrifised kuleta peace ya kudumu ukanda huu wa maziwa makuu.


#Nani wa kumfunga nyau kengele!!!
 
Congo hawapo serious, wacha iwe annexed tu.

Ni sawa na Kenya (ambayo ina Masai) itumie Masai wa Tanzania kuchezea maeneo ambayo ni vitega uchumi wa nchi (hifadhi za wanyama pori).

Au Chinga wa Msumbiji wahatarishe uwekezaji wa Gas Lindi na Ntwara.

Ukiacha wa kazi wa East Congo kuwa na asili ya nchi kadhaa ikiwamo Tanzania; strategically kwa Congo hiyo region ni muhimu mno for national security yao.

60% ya cobalt duniani reserve inadaiwa hiko hapo; bado rare earth mineral ambazo luluki. Dunia ya leo ambayo inakuwa digitised hizo mineral ni precious commodity katika uchumi wa nchi yeyote duniani (rare earth mineral ndio kila kitu)..

Sasa wewe eneo ambalo lina kitega uchumi muhimu kwa mapato ya nchi yako na unaweza tumia kama bargaining chip kwenye majadiliano ya kimataifa. Ulinzi wake imara.

Unajua Congo ikisema inazuia export za rare mineral ni sawa na Saudi Arabia waseme wanakata supply ya mafuta. Kesho tu bei ya rare earth mineral inapanda bei na wazungu lazima watafute sababu ya kwenda kumtandiika Tshekedi waweke mwingine atakae wauzia.

Sasa why on earth hilo eneo serikali ya Congo ulinzi wake inalifanyia mzaha hakuna strong military presence.

Upuuzi wa Congo ni too much wacha Kagame sijui Museveni watafute mbinu za ku-annex tu( useless Congolese they are not serious people.
Wamebakia kukata uno, uchawa kujichubua tu
Na kuna nchi moja inaelekea kuwa kama kongo nayo

Ova
 
Wanakwepa solution wanakazi ya kuzungukazunguka. One has to be sucrifised kuleta peace ya kudumu ukanda huu wa maziwa makuu.


#Nani wa kumfunga nyau kengele!!!
Shida sio Kagame wala Museveni; shida ni wa-Congo wenyewe. Hawapo serious na vitega uchumi wao.

Ukienda huko gas ilipojaa Siberia unahitaji special permit hata raia na mgeni ndio kabisa uendi kiholela huo, uruhusiwi kurekodi (restriction kibao). Na kuna kambi ya jeshi kubwa tu( wakati eneo lenyewe) population ni low density.

Same ukienda U.K. mipaka yao ya north sea kwenye gas na mafuta kuna full time nuclear submarine, kuna navy station, kuna air military base na army station. Tayari kwa lolote ukichezea mafuta yao.

East Congo kuna nini? Yaani hao M23 wakiwavaa jeshi linachukua week kufika. Tuwaachie tu mziki wao, hawako serious.
 
Congo hawapo serious, wacha iwe annexed tu.

Ni sawa na Kenya (ambayo ina Masai) itumie Masai wa Tanzania kuchezea maeneo ambayo ni vitega uchumi wa nchi (hifadhi za wanyama pori).

Au Chinga wa Msumbiji wahatarishe uwekezaji wa Gas Lindi na Ntwara.

Ukiacha wa kazi wa East Congo kuwa na asili ya nchi kadhaa ikiwamo Tanzania; strategically kwa Congo hiyo region ni muhimu mno for national security yao.

60% ya cobalt duniani reserve inadaiwa hiko hapo; bado rare earth mineral ambazo luluki. Dunia ya leo ambayo inakuwa digitised hizo mineral ni precious commodity katika uchumi wa nchi yeyote duniani (rare earth mineral ndio kila kitu)..

Sasa wewe eneo ambalo lina kitega uchumi muhimu kwa mapato ya nchi yako na unaweza tumia kama bargaining chip kwenye majadiliano ya kimataifa. Ulinzi wake imara.

Unajua Congo ikisema inazuia export za rare mineral ni sawa na Saudi Arabia waseme wanakata supply ya mafuta. Kesho tu bei ya rare earth mineral inapanda bei na wazungu lazima watafute sababu ya kwenda kumtandiika Tshekedi waweke mwingine atakae wauzia.

Sasa why on earth hilo eneo serikali ya Congo ulinzi wake inalifanyia mzaha hakuna strong military presence.

Upuuzi wa Congo ni too much wacha Kagame sijui Museveni watafute mbinu za ku-annex tu( useless Congolese they are not serious people.
Machafuko ni mwanya wa kimkakati ili biashara haramu ya madini iwe endelevu. Huenda pia kuna baadhi ya viongozi wa serikali ya Congo wanahusika ndio maana unaona hawako serious. Huenda siyo Kagame pekee kuna wengine. FBME bank ilifanya sana biashara haramu ya madini hapo mpaka Marekani ilipoipiga ripiti.
 
Machafuko ni mwanya wa kimkakati ili biashara haramu ya madini iwe endelevu. Huenda pia kuna baadhi ya viongozi wa serikali ya Congo wanahusika ndio maana unaona hawako serious. Huenda siyo Kagame pekee kuna wengine. FBME bank ilifanya sana biashara haramu ya madini hapo mpaka Marekani ilipoipiga ripiti.
Makes sense, serikali makini haiwezi chukulia poa region muhimu kwa mapato ya taifa.
 
DR Congo ni failed state, ndani ya serikali wamejaa watutsi na ndani ya jeshi wamejaa pia watutsi tena wenye vyeo vya juu. Kibaya zaidi utajiri wake unamponza
 
Back
Top Bottom