Hahah hata kwenye kusoma unaweza ukajikuta unarudia paragraph moja mara miaHii inanitokeaga kwenye Listening... kwamba unagundua hausikilizi unafocus kusikiliza wakat unafocus kusikiliza still hausikilizi maana umekazana kutafuta njia ya kusikiliza una endup not listening 😂
Hawa watu wa zamani hatari yaan mtu hawezi kuandika sentence moja mpaka azunguke.Kuna moja ya Shakespeare ngoja niishushe[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1430]newton alikuwa baharia
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1430]newton alikuwa baharia
Na enjoy nikiwa na watu wa ku share nao memes kama hivi[mention]Below 40 [/mention] wewe ni Meme Lord
Na enjoy nikiwa na watu wa ku share nao memes kama hivi
What's problem here?View attachment 2257072
Huyu ni mimi hahaha