makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Leo ndio leo, tuzo za CAF zinatolewa, wazee tupeane updates.
Mzigo utakuwa live kwenye channel ya CAF ya YouTube
Kocha bora wa mwaka(wanaume)
Aliou cisse 🇸🇳
Timu bora ya taifa ya wanaume ni SENEGALI 🇸🇳
Mchezaji bora chipukizi wa kiume
Pape matar sarr 🇸🇳
Tottenham
Mchezaji bora chipukizi wa kike
Evelyn badu 🇬🇭
Goli bora la mwaka
Pape ousmame sakho 🇸🇳
Simba 🦁 sc
Mchezaji bora wa kike ngazi ya klabu
Evelyn badu 🇬🇭
Mchezaji bora wa kike
Asisat oshoala 🇳🇬
Barcelona
Klabu bora wanaume
Wydad casablanca 🇲🇦
Mchezaji bora wa kiume ngazi ya klabu
Mohamed el shenawy 🇪🇬
Al ahly
Kocha bora wanawake
Desiree ellis 🇿🇦
Klabu bora wanawake
Mamelodi sundowns ladies 🇿🇦
======================
Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.
Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.
#Sakho alilifunga bao hilo wakati #Simba ikishinda 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo wa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Februari 13, 2022.
Mzigo utakuwa live kwenye channel ya CAF ya YouTube
Kocha bora wa mwaka(wanaume)
Aliou cisse 🇸🇳
Timu bora ya taifa ya wanaume ni SENEGALI 🇸🇳
Mchezaji bora chipukizi wa kiume
Pape matar sarr 🇸🇳
Tottenham
Mchezaji bora chipukizi wa kike
Evelyn badu 🇬🇭
Goli bora la mwaka
Pape ousmame sakho 🇸🇳
Simba 🦁 sc
Mchezaji bora wa kike ngazi ya klabu
Evelyn badu 🇬🇭
Mchezaji bora wa kike
Asisat oshoala 🇳🇬
Barcelona
Klabu bora wanaume
Wydad casablanca 🇲🇦
Mchezaji bora wa kiume ngazi ya klabu
Mohamed el shenawy 🇪🇬
Al ahly
Kocha bora wanawake
Desiree ellis 🇿🇦
Klabu bora wanawake
Mamelodi sundowns ladies 🇿🇦
======================
Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.
Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.
#Sakho alilifunga bao hilo wakati #Simba ikishinda 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo wa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Februari 13, 2022.