Sadio Mane Mchezaji Bora CAF 2022

makaveli10

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
31,583
Reaction score
92,670
Leo ndio leo, tuzo za CAF zinatolewa, wazee tupeane updates.

Mzigo utakuwa live kwenye channel ya CAF ya YouTube

Kocha bora wa mwaka(wanaume)
Aliou cisse πŸ‡ΈπŸ‡³

Timu bora ya taifa ya wanaume ni SENEGALI πŸ‡ΈπŸ‡³

Mchezaji bora chipukizi wa kiume
Pape matar sarr πŸ‡ΈπŸ‡³
Tottenham

Mchezaji bora chipukizi wa kike
Evelyn badu πŸ‡¬πŸ‡­

Goli bora la mwaka
Pape ousmame sakho πŸ‡ΈπŸ‡³
Simba 🦁 sc

Mchezaji bora wa kike ngazi ya klabu
Evelyn badu πŸ‡¬πŸ‡­

Mchezaji bora wa kike
Asisat oshoala πŸ‡³πŸ‡¬
Barcelona

Klabu bora wanaume
Wydad casablanca πŸ‡²πŸ‡¦

Mchezaji bora wa kiume ngazi ya klabu
Mohamed el shenawy πŸ‡ͺπŸ‡¬
Al ahly

Kocha bora wanawake
Desiree ellis πŸ‡ΏπŸ‡¦

Klabu bora wanawake
Mamelodi sundowns ladies πŸ‡ΏπŸ‡¦
======================

Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.

Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.

#Sakho alilifunga bao hilo wakati #Simba ikishinda 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo wa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Februari 13, 2022.



Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Hongera zake. Ila angekuwa MTANZANIA, ingenoga zaidi…!!! Hapa ni kama watanzania tunaishangilia Senegal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…