Sadio Mane Toka ajiunge Bayern Munich Kawa mtu mwenye furaha

Sadio Mane Toka ajiunge Bayern Munich Kawa mtu mwenye furaha

United ya Ferguson

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
3,132
Reaction score
6,353
Tuseme akiwa Livepool hakuwa na furaha au haikuwa klabu ya ndoto yake au pesa anayovuta Bayern Munich ndio inamfanya awe na tabasamu kubwa muda wote xaiz mane akifunga unaona kabisa anacheka mfano jana katupia goli mbili muda wote unaona anafurah anacheka na wezake ila ilikua nadra sana kumuona akiwa na tabasamu akiwa livepoor

Kipindi akiwa livepool mara chache sana ungekuta kaonesha tabasumu muda wote kanuna tu hapendi kuchekacheka hata ukute kafunge goli nakumbuka msimu ulioisha aliwafunga arsenal bonge moja mgoli wa kichwa pale anifield afu akaishia kushangilia Kwa kujipiga kifua tu

ila Toka amejiunga Bayern Munich amekua mtu wa kuenyoy tu anapanda had jukwan kushangilia na mashabiki pamoja Kuna mechi ya bundesiliga alipanda juu ya jukwaa akaanza shangilia na mashabiki
sjawah aona kafanya kitu Kam hili akiwa livepoor

Kiufupi mane anawasibithisha livepoor hawajah kuwa furah na maisha akiwa Livepoor ila alikua pale sababu ya Kaz tu

Pia nazan kitu kingne mashabaki wa livepoor walikua na utamudani wa kuimba jina la mo salah tu wakat Kaz kubwa walikua wanafanya wote mara chache sana kukuta sadio mane akiibwa na mashabaki wa livepoor

Hamna kitu nimefurah Kam sadio mane kuondoka livepoor naomba na yule dogo full beki muingireza naye aje aondoke Ile klabu sababu haw ndio walikua mission kubwa ya magoli ya livepoor.

fcbayern~p~Cg5FfbysjZ_~1.jpg
fcbayern~p~Chh1cx7sLLc~1.jpg
fcbayern~p~Cg5FfbysjZ_~1.jpg
 
Kale ka MO sala ni kabaguzi sana na kabinafsi, mwanzoni ilikuwa bora apige mpira nje au ampe adui kuliko kumpa pasi ya goli mane.

Nadhani kuna wakati mane alitaka kuzira kabisa kakajirekebisha kidogo. Ila amekuja kudhihirisha kuwa mane ni moto kwenye kombe la afrika na kuwania kufuzu kombe la dunia kwa timu za nchi
 
Kale ka MO sala ni kabaguzi sana na kabinafsi, mwanzoni ilikuwa bora apige mpira nje au ampe adui kuliko kumpa pasi ya goli mane. Nadhani kuna wakati mane alitaka kuzira kabisa kakajirekebisha kidogo. Ila amekuja kudhihirisha kuwa mane ni moto kwenye kombe la afrika na kuwania kufuzu kombe la dunia kwa timu za nchi
Kabisa kanajiona kazungu sana kale kajamaa
 
Kuna tetesi sijui kama ni kweli kua Mo Salah alikua anamzidi mshahara, jamaa akawafuata mabos wamuongeze wakakataa ila wakamiongeza Salah licha ya kua Mane alikua na performance kubwa kuliko Salah na hii ni kutokana na kua underrated kutokana na rangi yake.
 
Kuna tetesi sijui kama ni kweli kua Mo Salah alikua anamzidi mshahara, jamaa akawafuata mabos wamuongeze wakakataa ila wakamiongeza Salah licha ya kua Mane alikua na performance kubwa kuliko Salah na hii ni kutokana na kua underrated kutokana na rangi yake.
Mane alikua anazidiwa mshahara had nawachezaj wanaokaa benchi mfano oxford chemberlain
 
Dah hii iliwezekanaje ndugu yangu. Alikua na bifu na mabos au ni rangi yake tu?
Waingireza wachezaji wao wanavuta hela nying sana nazani Sela ya nchi Yao pia inachangia wew mfano tu yule dogo wa man united sacho anavuta hela nyingi sana Kwa wiki ila anachofanya uwanjani ni upupu tu
 
Sasa mkuu liverpool na Bayern wapi kuna unafuu?
Ni sadio mwenyewe alishindwa kujikubali tu
Kuna tetesi sijui kama ni kweli kua Mo Salah alikua anamzidi mshahara, jamaa akawafuata mabos wamuongeze wakakataa ila wakamiongeza Salah licha ya kua Mane alikua na performance kubwa kuliko Salah na hii ni kutokana na kua underrated kutokana na rangi yake.
 
Back
Top Bottom