Safar ya S. Africa kibiashara, help please

Safar ya S. Africa kibiashara, help please

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
Mim ni streetvendor tu wa huku mtaani kwet nimemalza chuo mwaka jana kuna bisness nafkria kuifanya kutoka bongo to south africa

biashara yenyew ni kuchukua hv visandales vya kimasai,necless earring na vile viculture vya kuvaa mikonon vya kike na kiume then nkija bongo narudi na bidhaa nyingne kutoka huko kuviuza hapa tz

1.mtaji wangu ni 4mill
2.sijawah kwenda abroad nchi yeyote
3.sina ndugu huko wala jamaa naenda na my streetmate
4.nimejpanga kutumia usafir wa bus kwenda na kurudi south kuepuka gharama za ndege

Naomben ushaur kuhusu hii safar yangu na biashara yenyew kwa ujumla

AHSANTENI NA KARBUNI MNISHAURI.
 
We mwanaume ucogope jipe moyo kila kitu kitaenda sawa jiamini utatoka tu kaka
 
We mwanaume ucogope jipe moyo kila kitu kitaenda sawa jiamini utatoka tu kaka

Tatizo sina exprnce na nchi za watu na biashara yenyewe kwa ujumla-ndio mana nakuwa worried sana mpaka kuileta hapa jf
 
Huyo jamaa ako anapajua vizuri sauz?
Kuna sehemu inaitwa Bruma ndani ya Johanesburg,ndo kuna maduka ya hizo prosucts zako.kuna mitaa ya watanzania hapo joberg,je rafiki yako mwenyeji?
Nnaweza kukupa mtu yupo huko atakusaidia.mimi nimeishi huko miaka ya 2003 mpaka 2006*

Mim ni streetvendor tu wa huku mtaani kwet nimemalza chuo mwaka jana kuna bisness nafkria kuifanya kutoka bongo to south africa

biashara yenyew ni kuchukua hv visandales vya kimasai,necless earring na vile viculture vya kuvaa mikonon vya kike na kiume then nkija bongo narudi na bidhaa nyingne kutoka huko kuviuza hapa tz

1.mtaji wangu ni 4mill
2.sijawah kwenda abroad nchi yeyote
3.sina ndugu huko wala jamaa naenda na my streetmate
4.nimejpanga kutumia usafir wa bus kwenda na kurudi south kuepuka gharama za ndege

Naomben ushaur kuhusu hii safar yangu na biashara yenyew kwa ujumla

AHSANTENI NA KARBUNI MNISHAURI.
 
Huyo jamaa ako anapajua vizuri sauz?
Kuna sehemu inaitwa Bruma ndani ya Johanesburg,ndo kuna maduka ya hizo prosucts zako.kuna mitaa ya watanzania hapo joberg,je rafiki yako mwenyeji?
Nnaweza kukupa mtu yupo huko atakusaidia.mimi nimeishi huko miaka ya 2003 mpaka 2006*

Yap .... bruma lake ... maelezo. Mazuri haya ni ..... ila mitaa ya hillbrow hakufai
 
Yap .... bruma lake ... maelezo. Mazuri haya ni ..... ila mitaa ya hillbrow hakufai

Naomba niwape na option yangu nyingne ya biasha il mnishaur vyote kwenda south au nibak hapa tz.
kwa hapa tz nafkria kufanya biashara ya kuuza magodoro ambyo kidogo ina lipa ila kwa slow sana nipe msaada wako zaid nifanye lip hasa
 
Yap .... bruma lake ... maelezo. Mazuri haya ni ..... ila mitaa ya hillbrow hakufai

Yey alishawh kwenda kama mar2 hv anaendakuchukua simu anakaa week4 au6 anarud tz anaziuza then amerud tena
 
Mim ni streetvendor tu wa huku mtaani kwet nimemalza chuo mwaka jana kuna bisness nafkria kuifanya kutoka bongo to south africa

biashara yenyew ni kuchukua hv visandales vya kimasai,necless earring na vile viculture vya kuvaa mikonon vya kike na kiume then nkija bongo narudi na bidhaa nyingne kutoka huko kuviuza hapa tz

1.mtaji wangu ni 4mill
2.sijawah kwenda abroad nchi yeyote
3.sina ndugu huko wala jamaa naenda na my streetmate
4.nimejpanga kutumia usafir wa bus kwenda na kurudi south kuepuka gharama za ndege

Naomben ushaur kuhusu hii safar yangu na biashara yenyew kwa ujumla

AHSANTENI NA KARBUNI MNISHAURI.

usisubutu kusafiri na mzigo wa biashara Kama utapita nchi zaidi ya 2 kwa barabara sababu unaweza ukadaiwa bond ya mzigo wako
 
Naomba niwape na option yangu
nyingne ya biasha il mnishaur vyote kwenda south au nibak hapa tz.
kwa hapa tz nafkria kufanya biashara ya kuuza magodoro ambyo kidogo ina
lipa ila kwa slow sana nipe msaada wako zaid nifanye lip hasa

Kwa wakati huu ambao ukionyesha passport ya tz ktk nchi za watu unakuwa umejiingiza ktk kuchunguzwa na kusumbuliwa (na hasa ukiwa kijana) pasi na sababu ya msingi, wazo SA naomba uachane nalo Mkuu!
 
Kwa wakati huu ambao ukionyesha passport ya tz ktk nchi za watu unakuwa umejiingiza ktk kuchunguzwa na kusumbuliwa (na hasa ukiwa kijana) pasi na sababu ya msingi, wazo SA naomba uachane nalo Mkuu!

Sawa wakuu nimewaelewa ngoja nifkrie kufungu hii biashara yangu ya magodoro niendlee kukomaa hapahapa home
 
Nenda na mzigo wa kwenye begi tu, na pesa kiasi nenda kaangalie, sijajua unaenda kuleta bidhaa gani, lakini vijana wengi wanaenda kuchukua simu na laptop za wizi, sikushauri uingie kwenye biashara za namna hiyo, unakaa south wiki nne haiingii akilini kibiashara!! 4M kuna thread moja nzuri wadau wanaongelea fursa za kuchukua nguo Thailand, 4M inatosha unaweza kuja na pea hata mia hamsini ukauza bei rahisi, na margin ya faida naona ni nzuri! Usiogope kwenda nchi za watu kaka, kutafuta lazima uwe MBISHI!
 
Sorry 4m Thailand Hiyo ni pamoja na nauli au nauli pembeni..nimevutiwa nayo Hiyo
 
JF KILA kitu unapata hapa hapa.
_NI MARUFUKU KUKATA TAMAA__.
 
Kwa wakati huu ambao ukionyesha passport ya tz ktk nchi za watu unakuwa umejiingiza ktk kuchunguzwa na kusumbuliwa (na hasa ukiwa kijana) pasi na sababu ya msingi, wazo SA naomba uachane nalo Mkuu!

Unamshauri aende wapi? manake kaja hapa kuomba Ushauri!
 
si amesema ana plan B, he may take that!

Yaah! ila km umemkatisha tamaa kdg,,! Plan B yake ni kuuza maGORORO cdhani km Itamfaa 7bu kwa m2 anaenza kupambana na Maisha inatakiwa Biashara yakuzunguzusha kwamaana kwamba Kila mara aione PESA mkononi,,,!
 
Kama una 4 mill,tenga chukua 3 mill,njoo Kampala nauli 90*2 = 180,000,magari ya spider,then tenga kama laki 150,000 ya kula na malazi,then tenga 270,000 ya kusafirisha mzigo,the 2.4 mill unafunga mzigo wa mashuka,mablanketi makubwa,mapazia ya kisasa,nguo za kike na mikoba ya kike classic,na bracelets.Utatumia a max of 3 days kukusanya mzigo wako.Kazi utakayokuwepo nayo ni kutafuta wateja bongo,ila kuanzia nenda kwa rafiki zako wa karibu wanaofanya kazi,au wenye kipato cha kati uza cash in hand unless otherwise ili upate pesa ya kurudi fwasta.Kwa mara ya kwaza utafapata faida almost 30 - 50 % ya bei uliyonunulia na pesa uliyowekeza,next time utadoulbe the profit,unaweza kujiwekea kuja after every two weeks if ure smart kupata wateja haraka,unaweza kuanza kwa kutembeza then unafungua kaeneo.Its permanent employeement then utaendelea na kujiwekea NSSF Pia.
Welcome SSEBBO.
 
Mimi nina mpango wa kufanya biashara ya nguo za watoto kwa rejareja DSM, Vipi kuhusu bei za nguo za watoto kwa kuchukua mzigo kampala ukilinganisha na Kariakoo (DSM)


Kama una 4 mill,tenga chukua 3 mill,njoo Kampala nauli 90*2 = 180,000,magari ya spider,then tenga kama laki 150,000 ya kula na malazi,then tenga 270,000 ya kusafirisha mzigo,the 2.4 mill unafunga mzigo wa mashuka,mablanketi makubwa,mapazia ya kisasa,nguo za kike na mikoba ya kike classic,na bracelets.Utatumia a max of 3 days kukusanya mzigo wako.Kazi utakayokuwepo nayo ni kutafuta wateja bongo,ila kuanzia nenda kwa rafiki zako wa karibu wanaofanya kazi,au wenye kipato cha kati uza cash in hand unless otherwise ili upate pesa ya kurudi fwasta.Kwa mara ya kwaza utafapata faida almost 30 - 50 % ya bei uliyonunulia na pesa uliyowekeza,next time utadoulbe the profit,unaweza kujiwekea kuja after every two weeks if ure smart kupata wateja haraka,unaweza kuanza kwa kutembeza then unafungua kaeneo.Its permanent employeement then utaendelea na kujiwekea NSSF Pia.
Welcome SSEBBO.
 
Back
Top Bottom