Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
I was doubting for the same.Proof...? Ni siku nyingi sana hizoo, acha fix mkuu.
we ulikuepoo sa unabisha ninii?[emoji848]Proof...? Ni siku nyingi sana hizoo, acha fix mkuu.
Hata wewe hukuwepo sasa unathibitisha nini?we ulikuepoo sa unabisha ninii?[emoji848]
Hata Nyerere alikuwa bado hajazaliwa! Una hakika hapa Tanzania kulikuwa na gari lolote wakati huo?MWAKA 1920 Safari ya kutoka Mwanza hadi Dar ilikuwa inachukua siku 67.
una uhakika gani kama sikuwepo?Hata wewe hukuwepo sasa unathibitisha nini?
Hata Kwa mguu tuu huwez chukua sku zote hzoI was doubting for the same.
TZ pia haikuwepo mwaka huo.Hata Nyerere alikuwa bado hajazaliwa! Una hakika hapa Tanzania kulikuwa na gari lolote wakati huo?