Safari ya Cameroon hatwendi: Watanzania wepesi wa kusahau

Safari ya Cameroon hatwendi: Watanzania wepesi wa kusahau

Safi CAF
Unachokisema kiko sahihi na ni angalizo zuri.Lakini that was then and this is now.Ninachokubaliana na wewe ni kwamba tusitegemee Uganda sijui atufungie Cape hao sisi akili yote tuielekeze kwa Kuwafunga Lesotho bila Samatta,wachezaji wazoeshwe kushinda bila Samatta (Hilo la muhimu sana).Good news ni kwamba CAF wametoa ratiba mpya ambapo Uganda vs Cape ni 17 Nov halafu Tanzania vs Lesotho ni 18 Nov tukiwa tayari na matokeo ya Kampala,Rais wa CAF anatoka ukanda huu!!!!
 
naikumbuka mechi ya nigeria kuna mchezaji alikuwa anaitwa segoun gadegade inavyotamkwa inawezekana nimekosea herufi ila mwaka 84 nemes alikuwa bado kuchezea taifa stars turudi kwenye point yako Cameroon tunaweza kwenda ikiwa tutakuwa na nidhamu ya mpira na kuacha kucheza mpira mdomoni haya mambo ya kuwaita stars bungeni kuwapongeza yamepitwa na wakati ingawa waziri wa michezo anapenda sana sifa na haya agazeti yanapenda sana kupamba wachezaji mpaka wanajiona wako level sawa na brazil
 
Fei Toto na Ajibu wanaenda kuwavuruga Walesotho kwao...nimeshaanza kuweka kibubu nauli ya kwenda AFCON 2019...
 
Mkuu hongera kwa makala nzuri ungekuwa karibu ningekupiga kalaki cha soda
 
Leo wanaenda Lunch pale White house labda itasaidia
 
Back
Top Bottom