Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 547
- 554
Wakuu heshima kwenu
Next week nitaanza safari ya kutoka Dsm kuelekea mbeya kwa Rav 4 new model. Lakini hii itakuwa safari yangu ya kwanza kuelekea Mbeya, kama ujuavyo unaposafiri safari ndefu unapata pia nafasi ya kutalii na kujifunza mazingira mapya,
Kwa msafiri mpya wa Mbeya, nisimame vituo gani kwa ajili ya kupata picha nzuri, kuangalia mazingira, kupata chakula nk, unaweza kushare nami jambo lolote ili niweze kufurahia safari yangu mpya ya Jiji la Mbeya.
Ni dereva mzoefu maana huwa natembelea mikoa kama Tanga, Kilimanjaro, Morogoro, Iringa, Dodoma, Lindi, Mtwara ila kwa makazi nipo Dar es salaam.
Karibuni wadau wenye uzoefu na safari ya Mbeya.
Next week nitaanza safari ya kutoka Dsm kuelekea mbeya kwa Rav 4 new model. Lakini hii itakuwa safari yangu ya kwanza kuelekea Mbeya, kama ujuavyo unaposafiri safari ndefu unapata pia nafasi ya kutalii na kujifunza mazingira mapya,
Kwa msafiri mpya wa Mbeya, nisimame vituo gani kwa ajili ya kupata picha nzuri, kuangalia mazingira, kupata chakula nk, unaweza kushare nami jambo lolote ili niweze kufurahia safari yangu mpya ya Jiji la Mbeya.
Ni dereva mzoefu maana huwa natembelea mikoa kama Tanga, Kilimanjaro, Morogoro, Iringa, Dodoma, Lindi, Mtwara ila kwa makazi nipo Dar es salaam.
Karibuni wadau wenye uzoefu na safari ya Mbeya.