T Thebony Member Joined Aug 16, 2012 Posts 92 Reaction score 2 Sep 13, 2012 #1 Jesho nakwenda kwa ghazabu huko tcu ikiwezekana waniambie kama napata chuo au laah! nimechoka maumivu ya moyo
Jesho nakwenda kwa ghazabu huko tcu ikiwezekana waniambie kama napata chuo au laah! nimechoka maumivu ya moyo
Mpigamsuli JF-Expert Member Joined May 24, 2012 Posts 3,885 Reaction score 582 Sep 14, 2012 #2 Vizuri manake bila kuonana nao uso kwa uso hawatashughulikia suala lajo ndugu
B Best Mzava Senior Member Joined Jul 20, 2012 Posts 135 Reaction score 10 Sep 14, 2012 #3 Mkuu utakuwa umefanya la maana,kama vp ukifanikiwa utupeupdates wanasemaje coz huku kijijini nifull mapressure
Mkuu utakuwa umefanya la maana,kama vp ukifanikiwa utupeupdates wanasemaje coz huku kijijini nifull mapressure
NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 Sep 14, 2012 #4 ukienda pita na kwa kaka zao HESLB