Safari ya kutoka nairobi kuelekea dar es salaam, kuhudhuria mashindano ya quran

Safari ya kutoka nairobi kuelekea dar es salaam, kuhudhuria mashindano ya quran

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Tazama baadhi ya waislamu kutoka Kenya walivyonakili safari yao kutoka Nairobi kuelekea Dar Es Salaam, kuhudhuria mashindano makubwa ya Qur'an yaliyoandaliwa na Al Hikma Foundation.

Link[emoji1427]
 
Tazama baadhi ya waislamu kutoka Kenya walivyonakili safari yao kutoka Nairobi kuelekea Dar Es Salaam, kuhudhuria mashindano makubwa ya Qur'an yaliyoandaliwa na Al Hikma Foundation.

Link[emoji1427]
Mashindano ya hivi ni bid'aa ata msemaje ila ni uzushi tuu

Watoto wa watu wanafanyiwa kila uchao kisa kashinda ivi mna macho hamuoni,mna masikio hamsikii,mna mioyo haiwaingii huruma ya hawa watoto wa watu wanorogwa kisa watu wajinufaishe kwenye biashara zao kwa mgongo wa dini

Nikija kupata mwanangu kweli nitampeleka ahifadhi qur-an ila sitokubali ashiriki kwenye hivi vitu ata iweje
 
Mashindano ya hivi ni bid'aa ata msemaje ila ni uzushi tuu

Watoto wa watu wanafanyiwa kila uchao kisa kashinda ivi mna macho hamuoni,mna masikio hamsikii,mna mioyo haiwaingii huruma ya hawa watoto wa watu wanorogwa kisa watu wajinufaishe kwenye biashara zao kwa mgongo wa dini

Nikija kupata mwanangu kweli nitampeleka ahifadhi qur-an ila sitokubali ashiriki kwenye hivi vitu ata iweje
ALLAH atuongoze kwa kweli
 
Back
Top Bottom