[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu,umeufanya mchana wangu wa leo kua wa kutabasamuKumbe ile "patasi" ilienda India ikiwa imevaa suti na malapa, alafu leo inakuja na kibesi eti ipo smart, watu wasiichezee. shwaini wahed kabisa.
Kilicho nishangaza zaidi ni jinsi eti anavyowaonea huruma watu wa jimbo la lema!,hivi anatumia akili gani kuwaonea huruma wana arusha kuliko wa huko porini kwake kongwa.kwamba wana kongwa maisha ni mazuri zaidi ya kongwa[emoji23] [emoji23]Pia hakuna kitu kimeniuma sana kama nilivyosikia Ndugai alikuwa kwenye ile kamati ya bunge iliyokwenda nyamongo kisha kupindisha ukweli eti maji ya mto hayakuwa na sumu lakini wananchi walipowataka wabunge wa kamati ile waguse maji wabunge wote waligoma. Halafu leo hii Ndugai anasimama na kujifanya mzalendo eti anapigania raslimali za taifa huku akisahau Lissu ndio aliyekuwa akiwatetea wananchi wa nyamongo dhidi ya sumu ile kwenye mto. Halafu ukimsikia anavyozunguza kwa kejeli na ulevi wa madaraka huku akiwananga wapinzani kwamba ndio kipimo cha kutokuwa dhaifu. Yaani hajui hata udhaifu uko kwenye nini.
Mkuu,hata mimi nilipokumbuka jinsi mbowe alivyo ona umuhimu wa yeye kuwahi kwenda kumpa pole.ati leo mashavu yamemvimba na kujiona yeye ni mungu wa bungeNakumbuka Ndugai alivyotoka India, Mbowe alienda kumsalimia kabla ya viongozi wengine wa Ccm kwenda kumsalimia.
Utu ni kitu cha thamani sana, tatizo ulevi wa madaraka ndio unafanya watu wengine waonekane kama sio binadamu na hawafai kuishi.
Mungu ni mwema ndio maana mpaka sasa TL yuko hai na iko siku atasimama na kutaja jinsi Mwenyenzi Mungu alivyomuokoa kwenye dimbwi ka mauti.
Kabisa kabisa, hawa jamaa sijui wanapewa nini mpaka wanakua hiviMkuu,kuna viumbe wanaishi kwa kazi moja tuu,kukwaza wenzao basi.inasikitisha sanaa
Wachana na umalaya wa maneno mkuu, hautakusaidia we we, ndugu zako wala nchi. Weka utu kwanza, haya mengine baadayeMalumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama
Inatia uchungu sana,kina Ndugai wanalewa sana na haya madaraka ya kiduniaUnapomaliza kusoma taarifa kama hii ndipo unagundua kwa nini Tanzania ni moja Kati ya nchi ambazo wananchi wake hawana furaha.
Vyovyote ulivyooelewa wewe,ndio maana ya ID za humusasa kati yako wewe na mbunge ni nani aliyeshiriki kuorganize hiyo flight ya lisu?
wewe umedai umeshiriki indirectly. mbunge anadai kufahamiana na owners hivyo kuwepo malikauli kabla ya flight.
sasa hapo ushiriki wako uko wapi?? unless wewe ndiye mbunge mwenyewe.