Tlipofika me naona ni ushindi tosha hata tukitolewa boco kafunga penat juzi Moro mechi ya mbao kukosa ni kawaida japo kipindi penat inatolewa niliwambia watu pale bandani penat apige Nyoni maana hata juzi staz na Uganda wote akina boco ,samata ,msuva waliogopa Nyoni ndo alipiga
Sent using
Jamii Forums mobile app