Kama msuva!!
Gongo wazi mna matatizo sana nyie vyura fcMungu ana issues kubwa zaidi ya safari ya Ndemla, yeye aende kivyake tu.
Mungu yuko bize kuzuia ligi kati ya USA v N. KOREA, hawezi kuangalia vijambo vidogo kama vya akina NdemlaMungu amsaidie ,angalau tuwe na hata kiungo mmoja anaye cheza ulaya.
Na ninyi Kinyeo nje mna matatizo lukuki tu, mikia fc!Gongo wazi mna matatizo sana nyie vyura fc
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Asiende huko atapoteza muda na pesa za nauli bure tu. Hana kiwango cha kucheza huko. Yeye ni kama Kapeto wa kubaki hapa hapa.Ni kwenda kufanya Trials Jamani.... Haimaanishi anaenda kumwaga wino.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri. Timu pekee yenye kununua wababu ni Simba KokoHivi kwa nini Niyonzima hatakiwi ligi za nje??
Kwi kwi kwi kwiiiiii!!! Kumbe Niyonzima, Okwi, Nyoni, Nduda, Boko: wote hawa ni mababu?Umri. Timu pekee yenye kununua wababu ni Simba Koko
Ndunda Saidi 33Kwi kwi kwi kwiiiiii!!! Kumbe Niyonzima, Okwi, Nyoni, Nduda, Boko: wote hawa ni mababu?
Watu wana maneno!Ndunda Saidi 33
Kapombe 28
Ally Shomari 28
Nyoni 32
Okwi 35
Boko 33
Wahenga FC
M
Mungu yuko bize kuzuia ligi kati ya USA v N. KOREA, hawezi kuangalia vijambo vidogo kama vya akina Ndemla
Na ninyi Kinyeo nje mna matatizo lukuki tu, mikia fc!
Upumbavu wako wako pia usiingilie uhuru wangu wa kutoa maoni.Dah! Watu huwaga mnajisahau sana mpaka mnaanza kudharau uwezo wa Mnyezi Mungu sijui ni kiburi au ni maradhi ya ujinga ndio yanayowasumbua. Mungu ana uwezo wa kuyafanya yote hayo na mengine yote yanayoendelea kwa wakati mmoja. Upumbavu wako wa simba na yanga usikufanye ukaleta dharau kwa Mnyezi Mungu ambae ni Muumba wa kila kitu.
Najaribu kukutahadharisha kua usilweke upumbavu wako wa kishabiki ukadharau uwezo wa Mnyezi Mungu.Upumbavu wako wako pia usiingilie uhuru wangu wa kutoa maoni.