Safari ya Taifa Stars Afcon

Simchezo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
460
Reaction score
373
Kuna mtu humu simkumbuki aliwahi kuandika uzi usemao "Taifa starrs hatuendi Cameroon" ,ilikuwa hata kabla ya mechi na lesotho na alitoa pointi zake, na aliongea kwa kujiamini sana, naanza kumuamini.......
 
Kuna mtu humu simkumbuki aliwahi kuandika uzi usemao "Taifa starrs hatuendi Cameroon" ,ilikuwa hata kabla ya mechi na lesotho na alitoa pointi zake, na aliongea kwa kujiamini sana, naanza kumuamini.......
Tulienda na matokeo mfukoni. Tabu ilianzia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…