Safari ya treni kuelekea Kigoma.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,991
Machizi wawili walikuwa ndani ya
treni safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Kigoma, wakati safari ikiendelea
chizi wa kwanza akachungulia dirishani akamwambia
mwenzake, "Mwanangu unaona miti
inavyokimbia kuliko treni?" Chizi wa pili akamjibu, "Naona, itatubidi safari ya kurudi Dar tupande
miti ili tufike haraka."
 
Haaaaaaaaa...... Duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…