wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
kutoka sale yanga na etol de sahel ndio mwisho wa safari
sio mbaya kuishi kwa matumaini, lakini kwenye mashindano hayo yanga ameshaaga michuano hiyo.Mpaka mpira upigwe Tunisia. Sasa ni half time tu.
Yanga oyeeee!
Hivi ratiba ya Mapinduzi Cup tayari?
sio mbaya kuishi kwa matumaini, lakini kwenye mashindano hayo yanga ameshaaga michuano hiyo.
We nawe tangu ujihisi kuwa hautoshuka daraja imekuwa ni shida eti, kiasi cha kutoona 2 - 0 ulizokalia Mbeya (ligi ya ndani) ila umeiona sare ya kimataifa. Ila nakupa hongera Waarabu walewale unaowaitaga majina yote mabaya Al qaida mara wauaji mara chinja chinja na wewe jana ukawa pamoja naokutoka sale yanga na etol de sahel ndio mwisho wa safari
Hufai kuwa daktari wewe...yanga go...go yanga...
kutoka sale yanga na etol de sahel ndio mwisho wa safari
Ni hasara kuishia njiani, heri usishiriki. Hii michuanao si ya kushiriki kwa sifa, bali ni biasharaAnayeshiriki na kuishia njiani na asiye shiriki kwa kukosa sifa yupi bora?
Ni hasara kuishia njiani, heri usishiriki. Hii michuanao si ya kushiriki kwa sifa, bali ni biashara
Anayeshiriki na kuishia njiani na asiye shiriki kwa kukosa sifa yupi bora?
Usichanganye kushiriki na kushindana!
Kwa hiyo mlivotolewa na liboro laundi ya kwanza mlikuwa mnashiriki au mlikuwa mnashindana?!
Regardless umefikia wapi,umeshiriki. Kushindana at least chukua kombe.
Kwa hiyo mnyama kachukua kombe gn?
Kama unafuatilia seriously maslahi ya kushiriki michuano ya vilabu vya Afrika, utakubaliana nami kwamba vilabu vinaanza kupata mamilioni ya ruzuku kutoka CAF iwapo vitafikia walau ngazi ya robo fainali, na fedha zinaongezeka kadiri unavyokuwa juu. Kuna fungu la timu iliyofika robo fainali, kuna fungu la timu za nusu fainali, mshindi wa tatu, wa pili na bingwa. Lakini watu kwa kuwa hawaijui biashara hii wanadhani aliyeshiriki akaishia 16 bora anaweza kumtambia asiyeshiriki! Kama unashiriki kwa sifa it's okay, lakini kama unashiriki kwa ajili ya biashara, ni heri usishiriki kuliko kupata hasara kwa kushiriki ukatolewa 16 boraLakini Tanzania hakuna aliyewahi kufika mwisho wa safari. Haijalishi unarudia wapi kama kukufika. Lakini ili upate nafasi ya safari yenyewe lazima uwe vizuri kwako.