safari ya yanga yaishia taifa


Haina ubishi kwamba Simba ilifikia hatua za juu kwenye ushiriki wake CAF. Je kuna nini cha kuonyesha kutokana na kufaidika huko na hizo hela za CAF? Labda ungesema mwaka fulani Simba ilipata kiasi fulani ikajenga uwanja wake. Umaskini wa timu zetu ni ule ule. Bado tunategemea hela za watu binafsi. Ndio maana UEFA wameanzisha financial fair play. Time lazima iishi kwa mapato na matumizi yake!
 
Tayari wameshatoka, wimbo wa visingizio ndo unahaririwa, utapigwa huko huko Tunisia baada ya dk.90.

Mleta mada hujatutendea haki, huwezi kuleta facts ukitaka tujadili. Huwa tunajadili opinion. Hakuna timu pale, Kanjubhai kaweka daraja la kuendea mjengoni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…