safari ya zenj

mambo ya ulojo hapo kama kawa dah
 
signature bwn!, si vema kuishia hapa jf tu hasa kwa wakati huu!
 
kwa kweli kabla sijafa lazima nitembelee zenji...kwa picha you can feel presence of peace/tranquillity....
 
Mkuu,
Lile duka jipya la vifaa vya wanawake alilotuwekea Rev. Masalino uliliona pale Darajani?

Kama uliliona tuwekee picha isijekuwa Rev anatutupia changa la macho.
 
Mkuu,
Lile duka jipya la vifaa vya wanawake alilotuwekea Rev. Masalino uliliona pale Darajani?

Kama uliliona tuwekee picha isijekuwa Rev anatutupia changa la macho.

Mpwa lipo bwana! Mwambie Uncle Ivunga aende pia Mlandege ataona hayo maduka.
 
Mkuu,

Pia ni vizuri uujulishe ukumbi kuwa sisi wadanganyika tuko huko kwa wingi. Si umeona wamasai ,wachaga ,wanyamwezi na wauza vinyago, walinzi na maduka mengi tu na bar zinamilikiwa na kuendeshwa na na watu kutoka Tanganyika. Ni vyema kwa vile umefika Zenj kuwaondoa watu ambao bado hawajafika huko kasumba waliyonayo kwa Zanzibar kuwa wanajifanya waarabu na hawataki wabongo wawepo.
Tufungue macho kidogo mkuu... Ulitembelea Stone town tu au na mashamba pia?

Umenifanya nitamani kurudi kutembelea tena Zenj
 
Mkuu,
Lile duka jipya la vifaa vya wanawake alilotuwekea Rev. Masalino uliliona pale Darajani?

Kama uliliona tuwekee picha isijekuwa Rev anatutupia changa la macho.


maduka maduka yapo ila wale jamaa sikuwakuta labda wanakujaga week end
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…