Safari za Air Tanzania kuanza kwenda China Februari 2019

Safari za Air Tanzania kuanza kwenda China Februari 2019

Mathayo Fungo

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2018
Posts
319
Reaction score
511
Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Air Tanzania ndugu Nkwabi ameelezea kwamba ATCL itaanza safari za kwenda Guangzhou kupitia Bankok mwezi Februari 2019.

Ndege itakuwa ni Boeing 787-Dreamliner C22/Y240.
Siku tatu kwa wiki (Jumanne, Alhamis na Jumamosi).

Neema kwa wafanyabiadhara
IMG_20181113_101715.jpeg
IMG_20181113_101712.jpeg
 
Back
Top Bottom