Safari za Barbara Gonzalez zimekosa ajenda

Kuna point nimekuelewa, kwamba alipoenda Misri akakutana na Ahly & Zamalek kufungua ukurasa wa ushirikiano jambo ambalo naliona ni gumu binafsi, labda kama alienda kujifunza baadhi ya mambo kwenye klabu hizo
Alikuwa clear kwamba amekwenda kujifunza vitu vinavyofanywa na klabu nyingine , mtoa post kaongeza chumvi zaidi
 
Heri ya mtembea bure kuliko mkaa bure

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Deportivo La Utopolo 😂😂😂 mtakuja kufa nyie
 
Vidimbwi mtateseka sana mwaka huu,mnaanza kuleta hoja za kimalaya malaya sasa,toka mtolewe bikra pale Mkwakwani akili hazijawakaa sawa
 
Hata saa mbovu kuna wakati inapatia majira
 
Nafikiri kinachokuuma ni ramani mliyoweka kwenye mijezi yenu haiendani na uhalisia wakati ceo anazubguka afrika nyie mmekuwa mnazunguka Tanzania
 
Senzo unateseka ukiwa wapi???
 
Nyie Yanga wenzangu ndo sometimes mnatamani hata mngekuwa wanawake ili mpate vizuri flani ambavyo mwanamke mwingine anavyo. Huu ni WIVU TU. TUIGE MAZURI SIYO KUPINGA. TUACHE FITNA NA WIVU
 
Hizo ni safari zenye umuhimu wake,kwaninlengo lake ni kuwayisha kisaikolojia kuwa simba ni timu kubwa na ina mipango mikubwa
 
Profile picture yako tu inaku disqualify kuandika hili gazeti uliloweka hapa. Kama una muda kawashauri Uto wenzio jinsi ya kujinasua kwenye migogoro
 
Nyie Yanga wenzangu ndo sometimes mnatamani hata mngekuwa wanawake ili mpate vizuri flani ambavyo mwanamke mwingine anavyo. Huu ni WIVU TU. TUIGE MAZURI SIYO KUPINGA. TUACHE FITNA NA WIVU
Tatizo ni ule mwiko kule nyuma,siku uking'olewa akili zitawarudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…