Safarini Singida, nikakaribishwa na...

zomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2007
Posts
17,240
Reaction score
3,930



 

Attachments

  • IMG-20111011-00188.jpg
    29.2 KB · Views: 465
  • IMG-20111011-00187.jpg
    28.6 KB · Views: 438
  • IMG-20111011-00190.jpg
    32.5 KB · Views: 448
mh asee hilo jiwe kama naniiiiiliii haaa..!?
 
Jamani singida noma muhaya kakimbia kule. Muhaya anakupa kwa elfu kumi kitu yake.but mwanamke wa kisimgida anakupa kwa elfu kumi na kuku nusu bure.. U buy nyau 4 ten taoo u get kuku bonus.. Sasa wewe wachagua nini wahaya wamekimbia kule. singidaaa nii nooooomaaaa!!!!!!!!
 
Hii kitu nayo iko Singida?

Hiyo ipo karibu kabisa ya Singida mjini, kuna sehemu inaitwa Puma hilo jiwe haliko mbali na hapo Puma, KM 10 -15 kutoka katikati ya mji wa Singida, barabara kuu ya Dodoma-Singida.
 
Tunamwita mughway.utakaribishwa na wanaume wasopenda maongezi kijinga au umat?¥~ko.
 
nature mkuu ikitumiwa vizuri ni utalii tosha.....teeeeeeh teeeeeeeeeeh

Nakubaliana na wewe 100% ukitembea kuanzia Dodoma mpaka baada ya Singida, ni sehemu ambayo inavutia sana kwa mawe yalivyojipanga yako ya kila aina, kuna ambyo ukiyatazama kwa mbali yanafanana na maumbo tofauti.

Wizara ya utalii isikazanie tu kuwa Wanyama na Kilimanjaro kubaki kuwa vivutio pekee vya utalii, Tanzania kuna vivutio vingi sana vya utalii wa asili.
 
Hii tutaiweka katika maajabu 7 ya dunia!
 
tafuta tafuta pembeni yake utaona ingine nzuri zaidi.
 
hayo kwa kinyaturu tunayaita ng'ongo, singida mjini karibu na uwanja wa mpira wa namfua, kuna haya mang'ongo kibao basi kama kuna mechi na iinahitaji viingilio basi juu ya mawe haya watazamaji ni wengi kuliko ndani ya uwanja, teh teh, wakisubiria fungulia mbwa, singida nimepamiss sana wakuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…