Safarini Singida, nikakaribishwa na...


Hilo kwenye picha linaonesha ndio baba la ma ng'ongo yote.
 
Watu samtimes tunachoka. tehetehetehete nimefurahi kwa kweli, muda si mrefu watu wataaanza kutalii hapo
 
Hapa hata wenyeji hawajui kama kuna kitu cha ajabu kama hichi,wanajua labda majabali tu!!!!!
 
Kuna nchi wanaabudu hiyo kitu, tukiwafanyia kampeni watakuja kuabdu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…