Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Naomba kujua
1.Safe za hela zinafananaje picha plz
2.Ramani za mabenki zinafanana Kama zinavyofanana zahanati za afya na nyumba za walimu
3.mbona bank manager hajifichi anaonekana wazi
4.Sare wanazovaa wafanyakazi wa bank huwa wanaambiana?
5.Vaults zinafananaje
6.Naweza kutembelea ghala la hela bank kuu Kama ninavyotembelea mikumi au selou kwa utaratibu
7.Bank kuu wanalinda komando au ffu
Itakuwa safi nikipata majibu
1.Safe za hela zinafananaje picha plz
2.Ramani za mabenki zinafanana Kama zinavyofanana zahanati za afya na nyumba za walimu
3.mbona bank manager hajifichi anaonekana wazi
4.Sare wanazovaa wafanyakazi wa bank huwa wanaambiana?
5.Vaults zinafananaje
6.Naweza kutembelea ghala la hela bank kuu Kama ninavyotembelea mikumi au selou kwa utaratibu
7.Bank kuu wanalinda komando au ffu
Itakuwa safi nikipata majibu