FA naye kumbe msomi, napata mashaka sana na usomi wake , ingekuwa gash tungesema labda kapata degree ya pi-chu, lakin huyu wa kiume labda alinunua huo usomi wake, msanii msomi hapa TZ ni nikki wa pili hata jinsi anyofafanua mambo unaona kweli hili jembe lenye UPEO MPANA KATIKA MAMBO MBALIMBALI na kweli anasifa ya kuongeza degree ya pili, SALAMA jabir alishawai kumuambia AY ni msanii wa kawaida lakini fighter hata naamini hilo kwa nyimbo zake anazoimba na wasanii wa nje zinakua za kawaida ukilinganisha na wasanii kama kina wyre ambao wanaendelea kupenya tu huko mbele