Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo bandiko lolote haliwezi kutembeaIli uone kuwa umeandika Pumba na Kusifu Upuuzi Uzi umeuanzisha Saa 7 na dakika 59 Mchana 2020 post ya Kwanza ni Saa 6 hii ya Mwaka 2021.
Haromize Kaachia Chombo ila Diamond alishaachia Dude la WAAH ambalo hadi hivi sasa lina hit tu airwaves zote za Tanzania na Afrika Kiujumla.Leo bandiko lolote haliwezi kutembea
Chakwanza watu wapo busy na familia zao wanasheherekea mwaka mpya
Wana JF Leo wapo bwasi
Al in all mambo mengi muda nimchache...
Harmonize kaachia chombo
sawaHaromize Kaachia Chombo ila Diamond alishaachia Dude la WAAH ambalo hadi hivi sasa lina hit tu airwaves zote za Tanzania na Afrika Kiujumla.
Halafu Mwambieni huyo sijui Harmonize wenu kuwa anahitaji miaka kama 15 ijayo Kujilinganisha na Kumfikia Diamond, hivyo asijipotezee muda.sawa
njoo polepole mkuu, hamuwezi kupambana na nguvu ya jeshiHalafu Mwambieni huyo sijui Harmonize wenu kuwa anahitaji miaka kama 15 ijayo Kujilinganisha na Kumfikia Diamond hivyo asijipotezee muda.
Kumlinganisha Diamond na Harmonize ni sawa na Kumlinganisha Lionel Messi na Waziri Junior je, Kwako Wewe Ndugu hii inawezekana Kweli au?njoo polepole mkuu, hamuwezi kupambana na nguvu ya jeshi
Chukueni Kijiji kizima Hapo usafini lakn hamuwezi kumshusha Konde Boy Mjeshi
swali gani Tena ilo ulisomea Lumumba?Kumlinganisha Diamond na Harmonize ni sawa na Kumlinganisha Lionel Messi na Waziri Junior je, Kwako Wewe Ndugu hii inawezekana Kweli au?
Kwa ukubwa wa lile Pua lake na Bichwa lake hapa nitakubaliana nawe Ndugu ila katika Uimbaji, Uhodari na Ubunifu sijaona kama Diamond nchini.swali gani Tena ilo ulisomea Lumumba?
Harmonize ndio msanii mkubwa kwasasa Tanzania Diamond kabaki jina
Jeshiiiiiiiii
ahahaha naona malegendi wamerudisha Vita wanahofia eti kisa jeshi nawapitaKwa ukubwa wa lile Pua lake na Bichwa lake hapa nitakubaliana nawe Ndugu ila katika Uimbaji, Uhodari na Ubunifu sijaona kama Diamond nchini.
Halafu Mwambieni huyo sijui Harmonize wenu kuwa anahitaji miaka kama 15 ijayo Kujilinganisha na Kumfikia Diamond, hivyo asijipotezee muda.
Halafu Mwambieni huyo sijui Harmonize wenu kuwa anahitaji miaka kama 15 ijayo Kujilinganisha na Kumfikia Diamond, hivyo asijipotezee muda.
Ili uone kuwa umeandika Pumba na Kusifu Upuuzi Uzi umeuanzisha Saa 7 na dakika 59 Mchana 2020 post ya Kwanza ni Saa 6 Usiku Mwaka 2021.
Ukizeeka utakuwa mchawi jivunze ku AppreciateHaromize Kaachia Chombo ila Diamond alishaachia Dude la WAAH ambalo hadi hivi sasa lina hit tu airwaves zote za Tanzania na Afrika Kiujumla.
Sawa Tanasha DonaHalafu Mwambieni huyo sijui Harmonize wenu kuwa anahitaji miaka kama 15 ijayo Kujilinganisha na Kumfikia Diamond, hivyo asijipotezee muda.
Hauna points kabisaKwa ukubwa wa lile Pua lake na Bichwa lake hapa nitakubaliana nawe Ndugu ila katika Uimbaji, Uhodari na Ubunifu sijaona kama Diamond nchini.