Safi sana wachambuzi wapigwa goli mbili

Safi sana wachambuzi wapigwa goli mbili

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Wachambuzi timu lenu limefungwa huko ila najua hamkosi cha kusema. Mmewadanganya sana wenzenu kwa tabiri na sifa nyingi za kijinga mkasahau kuwa hii ni soka.

Mliipa nafasi kubwa ili kuzifanya timu msizozipenda zijione ziko chini sana. Mnataja wachezaji walio timu za taifa ukimtaja Aucho unajidai hujui kuwa Mukwala naye anacheza timu hiyo hiyo.

Wacha Mbuzi poleni
 
bora hata hao wachambuzi wa hapa na pale, mwamnyeto jana kwenye 'interview' alisema yanga anashinda 5 leo.
 
Back
Top Bottom