Safi sana walimu wa mbeya

Safi sana walimu wa mbeya

mamayeyo

Senior Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
167
Reaction score
138
Nawapongeza walimu wa Mbeya kwani wameonyesha mshikamano na ujasiri wa hali ya juu kwa kwenda kumkabili mwajiri wao kudai haki zao. (chanzo: ITV taarifa ya habari leo saa mbili usiku). Jinsi walimu walivyo watiifu wameamua kwenda kwa bosi wao wakati wa likizo ili wasipatikane na hatia ya kuambiwa wamegoma kufundisha. Serikali kuu inatakiwa imwajibishe mkurugenzi huyu kama kosa ni lake ili wakurugenzi wengine wapate fundisho wajirekebishe. Bravo walimu wa Mbeya!!!!!!! Kitendo hiki ni meseji kwa wakurugenzi wote wa wilaya kuwa iko siku wanyonge wanaowanyonga watakuja kuwadai haki zao kwa sauti moja.
 
wanasema kompyuta za maafisa elimu zimejaa nyimbo za ali kiba hadi kuona majina yao(walimu) ni vigumu! Natamani kuwa mwalimu- jamaa nawapenda kwa ma-confidence!
 
Walimu wa jiji la Mbeya AU walimu wenye tabia za umbea

Kama ni walimu kutoka jiji la Mbeya nakubaliana nao, na uhuru siku zote mnao wenyewe , hakuna wakutafutia uhuru

lazima mkae mkijua, mkoloni mweusi ni mbaya kuliko mjerumani ama mwingeleza

pamoja na hilo, taarifa ya serikali kuikatalia CWT kukata mishahara ya walimu 2% nimeipongeza sana, hata hivyo bado kuna makosa katika sheria husika, hiyi]o nusu inayosemwa ikiwa nusu ni haki kuwakata waliobaki(ambao hawajasaini).

Seriakli nyingi dunian hukumbuka shuka asubuhi, mwalimu alieajiriwa mwaka 2000 alikubali lini akatwe two percent? Serikali inatosa cwt kwa kuwa inajua walimu hawana imani na mbwa na mwenye mbwa

View attachment 99291View attachment 99292
 
Haaa haa haa
Mkuu lazima utakuja takiwa kufuta kauli
yako ya mfano wa Mbwa.
 
Back
Top Bottom