Safi sana Waziri Jumaa Aweso kwa kuwatumbua vigogo Wizara ya Maji wasiojitambua

Safi sana Waziri Jumaa Aweso kwa kuwatumbua vigogo Wizara ya Maji wasiojitambua

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kuna wakati nilikuwa nawalaumu Wanasiasa ila Kwa sehemu kubwa incompetent leaders and staff ndio wamekuwa wanachangia shida Kwa Wananchi na mambo hayaendi.

Hongera sana bwana Aweso Kwa kumtumbua huyo Kigogo wa Dawasco asiyetimbua.👇👇

 
Back
Top Bottom