NILISAHAU. NIMEANGALIA KWENYE MTANDAO WA BUNGE NIMEONA CV ZA HAWA WANAOJIFANYA WANAUCHUNGU NA TANZANIA KULIKO WAKINA NYERERE. JOHN MNYIKA NI FORM SIX FAILURE TAMBAZA AKIWA NA DIVISION THREE. LAKINI KWENYE JAMII FORUM HII TULUDANGANYWA KUWA ALIPATA POINT TATU FORM SIX. KUNA UTATA KUWA LIONEKANA AKIHUDHURIA MASOMO YA JIONI PALE CHUO KIKUU YAANI BBA. CHA AJABU ANAJIFANYA ANATUNISHA MISULI NA KUKAZA SAUTI KUHUSU MAREKEBISHO YA KATIBA ILIHALI HAJAWAHI KUSOMA HATA LECTURE MOJA YA SHERIA. GODBY LEMA MASKINI KUMBE AMEISHIA FORM TWO. KITILA MKUMBO NI MWALIMU WA CHUO KIKUU LAKINI KUMBE HAKUWA NA gpa YA KUTOSHA KUWA MHADHIRI. NDIYO MAANA AMEKUWA AKUTUMIA MUDA MWINGI PALE CHUO KIKUU KUFANYA UJASUSI WA KUCHOCHEA VURUGU NA KUIMBA SIASA KUWAPOTEZEA MUDA VIJANA WETU. ALIJIUNGA NA CHADEMA AKITOKEA CCM BAADA YA KUSHINDWA KATIKA UCHAGUZI WA UMOJA WA VIJANA. FREEMAN MBOWE NO FORM FOUR INGAWA ALIWEZA KUPATA DEGREE YA UJANJA UJANJA KWENYE MITANDAO. HUYU SAVIMBI TUNAAMBIWA ALIFUKUZWA UPAROKO
-Kwa viwango vya nchi div 3 hajafeli ,ingawa anaweza kosa nafasi kama kuna wengi wapo juu yake.Achilia mbali alikuwa A tisa O-Level.Pia ujue watu hufeli katik level fulani kwa vile wanakuwa priorities mbalimbali .JJ alikuwa na plan iliyomfikisha hapa.
-Nadhani hata waheshimiwa wengi wanasoma Masomo ya jioni achilia mbali hao waliosoma online PHD zao bila hata kuonana na waendesha course live.Mbona kuna materials nyingi sana katika form ya vitabu/DVD na software za A-Z katika sheria na maeneo mengine yote, ambazo ni bora kuliko walimu wetu wa sheria hapa nchini.Zina (Audio, text,Video, examples za case za dunia kwa miaka mingi).Watoto wangu wana vitabu, cd, DVD ,etc ambazo zinawasaidia kujua wanyama, watu kwa harufu, touch cuture etc.Huw anatamani enzi zetu tungepata.Kuna haja gani ya kuingia class za kibongo zaidi ya kufuata certificate?Ya nini nikakute mhasibu analazimisha mimi nijue kuwa entry fulani iingie katik upande fulani wa accounts bila kunipa sababu na vigezo.Hata nikipiga first class najua kuna shida katika flexibility ya uelewa wangu.Nadhani kujua uelewa wa mnyika katika sheria Muulize Werema, halafu linganisha na wabunge wanasheria bungeni katika michango yake.Watu wanasoma kila siku,na si kujaza mivyeti huku kichwani mambo mapya yanakuja.Boss wa ngu wa Mwisho aniambia libadili fani kwa vile baada ya kusoma taaluma tiba za macho canada alikwena nchi isiyo na vifaa na aliporudi canada alijikuta alipaswa piga refresh sawa na kurudia degree yake.
Sidhani kama CDM walipenda weka vyeti kiuhasilia,ila muda muafaka ukifika mtapata surprises sana,ingawa umechagua wachache wa kuwaweka CV zao.Mbowe ana spirit ya kuwa mtendaji zaidi na downlow tofauti na upana wa fikra zeke.Ndio maana Jimboni kwake aliwahi Kosa ubunge ila ahadi zake akatimiza na watu hawaijui sana familia yake ingawa hajafanya jitihada za kuificha.ndio maana wazembe huwa wanazusha mpaka vitu vya aibu, kuwa sijui hajalipa kadeni ka vimil 10.
Mtaulizia sana kuhusu hivyo vyeti vya voda fasta kwa akina, Sugu, Lema, ila mtashangaa mziki wao nje na ndani ya nchi.Siku mtajua huwa wanasoma vitu wanavyovihitaji katika maisha na si kusoma ili kujaza vyeti.My friend mmarekani alikuwa akiniuliza unaipenda kazi ufanyayo nikamwambia siipendi, akaniambia kule kwao huwa wanaacha, nikamwambia sometimes hiyo option haipo either kwa ugumu wa kazi au hata ugumu kupoteza malipo ya kiasi hicho.So hata kusoma kuna watu wana option ya kusoma wakipendacho, wanachokiamini kitasaidia kufanya vyema kitu wakipendacho, na si vyeti na sifa, na kugangi ajira