Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
nafikiri wamatopeni watakua wanajiandaa kuja u/taifa kuwashangilia maana hilo ni jukumu lao walilojitwikaWaje tu, tuwatandike goli 3-0 mchezo uwe umeisha kabisa.
Tuwaombee tu waishi siku nyingi na pia waje kwa wingi wajionee Yanga ikifanya vitu ghali Taifa.nafikiri wamatopeni watakua wanajiandaa kuja u/taifa kuwashangilia maana hilo ni jukumu lao walilojitwika
Hakuna namna itabidi wazivae tu na kama watahitaji zingine za ziada tutawasaidia za kwetu' Wakimataifa'sasa cjui watavaa jezi zao?
Mimi huwa sielewi kwanini mala nyingi lazima timu ngeni zianzie nyumbani kwa timu za Tz sio njia ya kuzibeba kisha timu zetu zifell tunapoenda kwao.
mh! kanuni ipi hio mkuu ya FIFAHuo ndio utaratibu wa FIFA wanaangalia viwango vya Soka so wewe dhaifu match zitaanzia kwako na utamalizia kwa mwenye kiwango cha juu.
mashabik wa simba wamekua kama watazama 'X'..kufanya wafanye wengine kwenye video wao mikia wimaWaje mashabiki wao tushafika mapema kuwapa support. Yanga lazma wafe.
Hapa hata mim nimebaki hoi sababu yanga na APR walianzia Kigali ina maana rank ya rwanda ipo chini?mh! kanuni ipi hio mkuu ya FIFA