Said Mwema anayo ya kujibu!

Said Mwema anayo ya kujibu!

nditolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
3,731
Reaction score
4,271
Tangu ameondoka madarakani sijasikia tena polisi wakiuwa wananchi hasa mashabiki na wapenzi wa cham tukufu CHADEMA. Tulizoea kuona Mwema akihalalisha mauaji kwa kusingizia itelijensia n.k. Nawaambia leo hii Kalenga tayari tungekuwa tumesikia mauwaji. Namlaani Said Mwema mpaka mbinguni.
 
Tangu ameondoka madarakani sijasikia tena polisi wakiuwa wananchi hasa mashabiki na wapenzi wa cham tukufu CHADEMA. Tulizoea kuona Mwema akihalalisha mauaji kwa kusingizia itelijensia n.k. Nawaambia leo hii Kalenga tayari tungekuwa tumesikia mauwaji. Namlaani Said Mwema mpaka mbinguni.

Hahahahahahaaa!
Mkuu kama unauhakika alisababisha mauaji, kamfungulie kesi!
 
nashindwa kuelewa hv kwani huyu mtu alishastaafu au ameongezewa tena muda? maana jana nilimuona kwenye taarifa ya habari ya ITV akizungumza kuhusu majambazi waliokamatwa ubungo wakiwa na siraha.
 
nashindwa kuelewa hv kwani huyu mtu alishastaafu au ameongezewa tena muda? maana jana nilimuona kwenye taarifa ya habari ya ITV akizungumza kuhusu majambazi waliokamatwa ubungo wakiwa na siraha.

Kova ni tofauti na Mwema
 
Tangu ameondoka madarakani sijasikia tena polisi wakiuwa wananchi hasa mashabiki na wapenzi wa cham tukufu CHADEMA. Tulizoea kuona Mwema akihalalisha mauaji kwa kusingizia itelijensia n.k. Nawaambia leo hii Kalenga tayari tungekuwa tumesikia mauwaji. Namlaani Said Mwema mpaka mbinguni.

inawezekana ni kweli alikua anafanya mauaji
 
Mbona suala la polisi kuuawa huliongelei! Polisi nae ni binadamu kama wewe!

Kama una ushahidi nenda kamfungulie mashtaka
 
Ushaidi ni kitu muhimu jamani, sasa mwenye ushahidi kuwa Mwandishi Mwangosi aliuawa makusudi mikononi mwa polisi aupeleke mahakamani!!!!
 
mkuu kusanya ushahidi wakutosha kisha tumpeleke kizimbani au unasemaje
 
nashindwa kuelewa hv kwani huyu mtu alishastaafu au ameongezewa tena muda? Maana jana nilimuona kwenye taarifa ya habari ya itv akizungumza kuhusu majambazi waliokamatwa ubungo wakiwa na siraha.

duh! Upo tz au?
 
Hakuna alie tukuka zaid ya mungu
kwa hiyo kukiita chama TUKUFU
binafsi napita2
 
Back
Top Bottom