Tetesi: Said Soud na Hamad Rashid kuteuliwa uwakilishi!

Tetesi: Said Soud na Hamad Rashid kuteuliwa uwakilishi!

magode

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
2,204
Reaction score
3,336
Wanabodi
Salaam;

Kuna kikao kilikuwa kinaendelea huko alipoporwa ushindi seif sharif hamad,kuna makubaliano yamefikiwa hawa jamaa wapewe uwakilishi wa kuteuliwa.sijui lengo la kuwateua litakuwa nini? Labda kukidhi matakwa ya kikatiba ya kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa.

6cab6f7ec80cfc97ad9bf2749c42304e.jpg
Said Soud wa AFP

801d7a5f949df62cbacb9cbd659375ab.jpg
Hamad Rashid asiye na chama.

Endelea kutega sikio uendelee kupata maajabu ya jecha yanayoendelea...
 
Kama wakikubaliana vizuri waache waunde serikali. Lengo ni kuwatumikia watu na si vingenevyo.
 
Back
Top Bottom