Kuna kikao kilikuwa kinaendelea huko alipoporwa ushindi seif sharif hamad,kuna makubaliano yamefikiwa hawa jamaa wapewe uwakilishi wa kuteuliwa.sijui lengo la kuwateua litakuwa nini? Labda kukidhi matakwa ya kikatiba ya kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa.
Said Soud wa AFP
Hamad Rashid asiye na chama.
Endelea kutega sikio uendelee kupata maajabu ya jecha yanayoendelea...