Saida Karoli alalamikia kusainishwa mikataba ya muziki akiwa hajui kusoma na kuandika

Saida Karoli alalamikia kusainishwa mikataba ya muziki akiwa hajui kusoma na kuandika

Binti Msichana

Senior Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
109
Reaction score
249
Akiongea na mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds , mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za utamaduni kutoka Kagera, amemlalamikia meneja wake kumsainisha mikataba mbalimbali ya kikazi ilhali alikuwa hajui kusoma wala kuandika.

Aelezea kwa muda wa miaka 15 akiwa chini ya meneja huyu alikuwa kifungoni kwani mikataba hiyo mibaya ilimnyima hata haki ya kuongea na waandishi wa habari.

Kwa hivi sasa msanii huyo amekuja kivingine na kibao kipya kinachoitwa Olugambo.

Kwa sasa msanii huyo anajisikia huru baada ya kuachana na mkataba huo kandamizi.Julai mosi atatimiza miaka 15 katika muziki.

Ikumbukwe miaka ya nyuma msanii huyu alikuwa maarufu sana na kujizolea mashabiki wengi katika Afrika Mashariki.

Umaarufu wake na kipato chake havikuendana, kwani mikataba hiyo ilimnyonya.

Miongoni mwa nyimbo zake maarufu ni Salome iliyorudiwa na msanii Diamond.
 
Akiongea na mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds , mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za utamaduni kutoka Kagera, amemlalamikia meneja wake kumsainisha mikataba mbalimbali ya kikazi ilhali alikuwa hajui kusoma wala kuandika.

Aelezea kwa muda wa miaka 15 akiwa chini ya meneja huyu alikuwa kifungoni kwani mikataba hiyo mibaya ilimnyima hata haki ya kuongea na waandishi wa habari.

Kwa hivi sasa msanii huyo amekuja kivingine na kibao kipya kinachoitwa Olugambo.

Kwa sasa msanii huyo anajisikia huru baada ya kuachana na mkataba huo kandamizi.Julai mosi atatimiza miaka 15 katika muziki.

Ikumbukwe miaka ya nyuma msanii huyu alikuwa maarufu sana na kujizolea mashabiki wengi katika Afrika Mashariki.

Umaarufu wake na kipato chake havikuendana, kwani mikataba hiyo ilimnyonya.

Miongoni mwa nyimbo zake maarufu ni Salome iliyorudiwa na msanii Diamond.

Hivi kama sijakosea si nilisikia kuwa Meneja wake / Msimamizi wake Mkuu alikuwa ni Boss Ruge au labda nimekengeuka?
 
Akiongea na mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds , mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za utamaduni kutoka Kagera, amemlalamikia meneja wake kumsainisha mikataba mbalimbali ya kikazi ilhali alikuwa hajui kusoma wala kuandika.

Aelezea kwa muda wa miaka 15 akiwa chini ya meneja huyu alikuwa kifungoni kwani mikataba hiyo mibaya ilimnyima hata haki ya kuongea na waandishi wa habari.

Kwa hivi sasa msanii huyo amekuja kivingine na kibao kipya kinachoitwa Olugambo.

Kwa sasa msanii huyo anajisikia huru baada ya kuachana na mkataba huo kandamizi.Julai mosi atatimiza miaka 15 katika muziki.

Ikumbukwe miaka ya nyuma msanii huyu alikuwa maarufu sana na kujizolea mashabiki wengi katika Afrika Mashariki.

Umaarufu wake na kipato chake havikuendana, kwani mikataba hiyo ilimnyonya.

Miongoni mwa nyimbo zake maarufu ni Salome iliyorudiwa na msanii Diamond.
Tunaomba jna la meneja wake wa awali kama hutojali.
 
Ndio akasome sasa. Kwani bro mamvi aliposema tatizo ni elimu elimu
Mlikuwa hamumuelewi?
 
Acheni utani jamani tangu lini akawepo " nshomile" asiyejua kusoma na kuandika tena toka Bukoba! Ukizaliwa tu muhaya wewe tayari ni form six leaver how comes Saida hata kusoma asijue.
wahaya njoooni hapa fasta
 
Hajui Kusoma wala kuandika kiswahili au kingeleza?
 
Bora ukose mali upate akili kwani elimu ni bahari haina mwisho....r.i.p banza stone[emoji445][emoji444][emoji441]
 
Huyo meneja mpya aliyempata amuombe ampeleke shule, hiyo iwepo kwenye mkataba kabisa
 
Awalalamikie walezi/ wazazi wake siyo meneja.
 
Back
Top Bottom