Saida Karoli atamani collabo na Diamondplatnumz

Atulie kidogoooooo

Afurahie kukumbukwa kwanza na kurudi kwenye ramani.
 
Ni sawa ila Video Queen awe Ray C.[emoji23]
 
[emoji1] [emoji1]
Aaah Saida naye!! Sasa ndo akaomba na lift hapo hapo!

Any way najua domo mtu wa watu na hana roho ya kwa nin, ata mfikiria
 
Avunje mkataba wake na yule meneja wake kwanza ndoatafaidika na hichi kichwa (Dangote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…