Saida Karoli yupo wapi?

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Hakuna asiyemjua mwanamama Saida Karoli kutoka na vibao vyake motomoto kama vile Chambua kama Karanga, Kalibatano, Kitobelo, Engozi...nk pia aliwahi kushiriki mashindano ya Kora kupitia kipengele cha nyimbo za Asili.

Yuko wapi siku hizi uyu mwanamama na anajishughulisha na nini siku izii??
 
Bado anafanya mziki...yuko mwanza maduka tisa ni mjasiliamali, mwanamuziki yuko Tivol Studio...ambyo n km label inayomiliki wasanii wengi wa nyimbo za asili especially kanda ya Ziwa
 
Bado anafanya mziki...yuko mwanza maduka tisa ni mjasiliamali, mwanamuziki yuko Tivol Studio...ambyo n km label inayomiliki wasanii wengi wa nyimbo za asili especially kanda ya Ziwa
Sawa sawa mkuu nakumbuka alijaza uwanja wa taif mwanamama uyu
 
tupo nae chimbo
 
NaoNA MAMA Amerudi na kibao cha TETEMEKO LA ARDHI...Kipo vizuri kinagoma kuupload mwenye nacho atuwekee kwangu inagoma sijui tatzo nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…