Saidi Mtanda huwa hapendi kufuata utaratibu, alishawahi kuja ofisini kwetu akapaki sehemu ya mkurugenzi wakati alikuja kama mteja

Saidi Mtanda huwa hapendi kufuata utaratibu, alishawahi kuja ofisini kwetu akapaki sehemu ya mkurugenzi wakati alikuja kama mteja

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Sitashangaa sana popote napomuona Said Mtanda akivunja utaratibu wa wazi!

Huyu jamaa alishawahi kuja ofisini kwetu kutaka huduma kama mteja!

Kwanza kabisa alikataa kupaki gari yake sehemu ya wateja wa kawaida bali alilazimisha walinzi apite akapaki sehemu ya mkurugenzi!

Pamoja na hayo vielelezo hakuwa amekamilisha lakini alijitambulisha yeye kama RC ataftiwe ufumbuzi nje ya utaratibu!

Hivyo siwezi kushangaa nikiona popote huyu jamaa kavunja utaratibu!

Anapenda sana kutumia madaraka yake hata akiwa nje ya mkoa wa Mwanza!
 
Sitashangaa sana popote napomuona said mtanda akivunja utaratibu wa wazi!

Huyu jamaa alishawahi kuja ofisini kwetu kutaka huduma kama mteja!

Kwanza kabisa alikataa kupaki gari yake sehemu ya wateja wa kawaida bali alilazimisha walinzi apite akapaki sehemu ya mkurugenzi!

Pamoja na hayo vielelezo hakuwa amekamilisha lakini alijitambulisha yeye kama RC ataftiwe ufumbuzi inje ya utaratibu!

Hivyo siwezi kushangaa nikiona popote huyu jamaa kavunja utaratibu!
Anapenda sana kutumia madaraka yake hata akiwa inje ya mkoa wa mwanza!
Huu muda wa kumpiga majungu mwanaume mwenzio ungetumia kumtumia baba yako pesa huko kijijini ili aache kula michembe
 
Inaweza kuwa ni kweli huyu jamaa ndo zake! Leo kahojiwa nawaandishi akiulizwa kwanini alivamia mazoezi ya simba ..akajibu hatakiwi kuhojiwa hilo swali kwasababu alikuwa anakagua kwenye mji wake (mkoa wa mwanza).
Pia jamaa anasema alienda uwanjani kama mlezi wa timu ya Pamba!

Swali; kama alikwenda kama mlezi kwanini alikwenda na mitutu ya bunduki na misafara!
Kwanini hajakwenda kimpira mpira? Kwanini akamate watu na kuhoji!?
Kuna harufu ya utumiaji madaraka vibaya
 
Back
Top Bottom