Anapenda kujitutumua kama RC popote hata panapohitaji utaratibuWaganda kyaka ndo walivyo
Huu muda wa kumpiga majungu mwanaume mwenzio ungetumia kumtumia baba yako pesa huko kijijini ili aache kula michembeSitashangaa sana popote napomuona said mtanda akivunja utaratibu wa wazi!
Huyu jamaa alishawahi kuja ofisini kwetu kutaka huduma kama mteja!
Kwanza kabisa alikataa kupaki gari yake sehemu ya wateja wa kawaida bali alilazimisha walinzi apite akapaki sehemu ya mkurugenzi!
Pamoja na hayo vielelezo hakuwa amekamilisha lakini alijitambulisha yeye kama RC ataftiwe ufumbuzi inje ya utaratibu!
Hivyo siwezi kushangaa nikiona popote huyu jamaa kavunja utaratibu!
Anapenda sana kutumia madaraka yake hata akiwa inje ya mkoa wa mwanza!
Ni Mpuuzi sana!Anapenda kujitutumua kama RC popote hata panapohitaji utaratibu
Najaribu kuwaza kama huyu jamaa ndivyo alivyo sijui kama hana kijitabia cha Bartazar! Mtu asiyependa utaratibu maana yake hata uhuni ni mwingi!Waganda kyaka ndo walivyo
Tofautisha majungu na tabia za hovyo!Wabongo wengi mnapenda sana majungu na umbea. Haya mnatuambia baada tu ya kuingilia maslahi yenu bila shaka.
Ndiyo hivyo wabongo ni watu wa majungu sanaWabongo wengi mnapenda sana majungu na umbea. Haya mnatuambia baada tu ya kuingilia maslahi yenu bila shaka.
Anaingilia hadi mambo ya mipira sasa cjui alizan ni chadema wanaandamanaNyamilama kabisa huyu, mshamba wa Ng'wamagigisi
Kasababisha had pamba imefungwa kwa hasiraKumbe anatabia mbaya
....Mtu mwenye akili za Kiutopwinyo mtihani sana.
Jina lake la ubatizo/kusilimu aliandikwa ni RC?Atumie akili.Anapenda kujitutumua kama RC popote hata panapohitaji utaratibu
Wewe kwenda zako!Huu muda wa kumpiga majungu mwanaume mwenzio ungetumia kumtumia baba yako pesa huko kijijini ili aache kula michembe