Saidieni_Jamaa amekula kuku,vifaranga na mayai !!!!

tabia ya kukaa na mama na wadada,marafiki na kuanza kuhadithiana mautamu ya wapenzi wetu ndo huwa inazaa maajabu ya namna hii...
 

Kutembea nao siyo ndoa! Mama like any other woman anastahili kupewa huduma ya kitandani - Kama amekwisha achana nao mmoja baada ya mwingine hakuna dhambi ya kutembea na Mama ya hao mabinti...
 
Kutembea nao siyo ndoa! Mama like any other woman anastahili kupewa huduma ya kitandani - Kama amekwisha achana nao mmoja baada ya mwingine hakuna dhambi ya kutembea na Mama ya hao mabinti...

Labda hiyo njemba ina kitu ile roho inapenda. Sio bure iko namna. Pengine ana shughuli pevu. Inaburudisha roho ndio maana wote wakataka kuonja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…