Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Ni mwendelezo wa Yanga sc kusajili wachezaji waliotelekezwa. Mshambuliaji raia wa Burundi ,Saido ntibazonkiza amerudi tena Jangwani na kupewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia wana mboga mboga katika msimu wa 2024/2025.
Uongozi wa Yanga unaamini katika kusajili wachezaji waliotelekezwa na Simba sc na hawajasita msiku huu kuwasajili Baleke na Chama huku msimu uliopita wakimnasa Jonas Mkude.
Hii hali ya kusajili wachezaji wanaotelekezwa na Simba inatia mashaka zaidi na kufanya watu waamini kuwa uongozi wa Yanga unalipa fadhila kwa maduka yao yaliyowatumikia kwa kipindi cha miaka hii mitatu.
Uongozi wa Yanga unaamini katika kusajili wachezaji waliotelekezwa na Simba sc na hawajasita msiku huu kuwasajili Baleke na Chama huku msimu uliopita wakimnasa Jonas Mkude.
Hii hali ya kusajili wachezaji wanaotelekezwa na Simba inatia mashaka zaidi na kufanya watu waamini kuwa uongozi wa Yanga unalipa fadhila kwa maduka yao yaliyowatumikia kwa kipindi cha miaka hii mitatu.