Saido Ntibazonkiza ndiye mchezaji anayependwa mno na kocha Robertinho, fuatilieni

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kiungo Mshambuliaji wa Simba Saido Ntibazonkiza ambaye jana amefunga mabao 5 peke yake na kuwafanya Yanga washtuke na kumsafirisha jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wa mwisho dhidi ya Prisons, ni mchezaji muhimu sana katika kikosi cha Simba chini ya huyu kocha Mbrazil.

Nyie fuatilieni mtaamini, Robertinho anavutiwa sana na style ya uchezaji ya Mrundi huyo. Robertinho anamuona Saido ana msaada mno kuliko mchezaji yeyote wa Simba akiwemo Triple C.

Huwezi kumuona kocha anamtoa kizembe zembe Ntibazonkiza, mechi zote kubwa Saido kamaliza, kwahiyo wale wanaopinga kuwa Saido hawezi kufunga mabao 5 mechi moja ni wajinga tu.
 
Saido anajua sana utopolo wanajuta kumuacha
 
Mimi nampenda yule mwamba Wallah Yanga tulibugi mistep kumuacha...halafu ntibazokinza acha apendwe dua nyingi yule kama Niyonzima
 
Kweli ni wajinga kama mleta uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…