Saidoo Saidoo dah

Saidoo Saidoo dah

Rocco sifredi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
100
Reaction score
197
Me nilishawahi kusema na nitaendelea kusema Ntibazonkiza ndio anamnyima uhuru chama, sababu nafasi anayocheza ndio alikua akiicheza chama na kwa ubora takribani misimu yote aliyocheza simba.

Lakini tangu alivyokuja saido muda mwingi tunaona chama akichezeshwa winga, linkup ya saido na chama haifanyi kazi kabisa nilitegemea baada ya mapinduzi CUP luiz angeanza kupata nafasi sababu ni mchezaji mwenye hatari zaidi ya Saido na combination yake na Chama nadhani ni bora zaidi maana walishacheza pamoja na kwa ufanisi mkubwa ilikua ni kuwatafutia tu watu wengine wawili wa kuendana nao.
 
Apply ukocha uifundishe simba.
Hiyo ni kazi ya kocha.

Kocha benkichaa ameaminiwa na kina mangungu ndio maana alipewa yeye timu na sio wewe.

Kocha anajicho la kiufundi kuliko lako
Hilo jicho la kiufundi limefanya nini mpaka sasa kuna tofauti yoyote ya kiuchezaji huyo saidoo mapinduzi cup chama alikua hayupo uliona simba ilivokua inahangaika kupata matokeo

HATA LEO AKIJA KOCHA TOFAUTI MAN CITY HALAFU FROM NOWWHERE AKAANZA KUMPIGA BENCHI DE BRUYNE AU AKAANZA KUMCHEZESHA NAFASI TOFAUTI NA CITY WAKAWA WANAHANGAIKA KUPATA MATOKEO UNAFIKIRI WATU WATAKAA KIMYA

Kama anataka kutuaminisha saidoo ni bora basi tuone wote hata kitakwimu basi haiwezekani mtu mechi 15 kachangia goli 5 halafu kati ya hizo 5 goli 4 ni penalti na assist 1 tu halafu eti jicho la kiufundi
 
Hilo jicho la kiufundi limefanya nini mpaka sasa kuna tofauti yoyote ya kiuchezaji huyo saidoo mapinduzi cup chama alikua hayupo uliona simba ilivokua inahangaika kupata matokeo

HATA LEO AKIJA KOCHA TOFAUTI MAN CITY HALAFU FROM NOWWHERE AKAANZA KUMPIGA BENCHI DE BRUYNE AU AKAANZA KUMCHEZESHA NAFASI TOFAUTI NA CITY WAKAWA WANAHANGAIKA KUPATA MATOKEO UNAFIKIRI WATU WATAKAA KIMYA
Mi naamini kocha kitu kikubwa endapo chama akicheza kama winga na saidoo akakaa pale kati.

Sema siku zote muunganiko ni jambo gumu sana endapo mchejazi hatoridhia kucheza nafasi ambayo kocha anataka acheze.
Sio kwamba chama haweza kuwa na impact kama zamani akicheza kama winga.

Sema ndo hivyooo madharau ukishawaka ndo huwa yanaleta yote hayo
 
Yani mze acha tu jamaa kazi yake ni kukokota mpira kuanguka anguka uwanjani kila mpira anataka apige golini na kuchekacheka hovyo

Na sijui wakina matola hua hawashauri
Kama UCHAWI upo lile zeee la kuitwa SAIDOO linatisha. Limewaweka mfukoni Wanasimba woooote hasa Viongozi halafu choyoooooo la kuunganisha timu.
 
Apply ukocha uifundishe simba.
Hiyo ni kazi ya kocha.

Kocha benkichaa ameaminiwa na kina mangungu ndio maana alipewa yeye timu na sio wewe.

Kocha anajicho la kiufundi kuliko lako
Kafungwa akili na Saidoo ndio maana hata haoni ubora wa Chama na udhaifu wa Saido na Kwa kuroga kwake anaanza yy badala ya konde boy
 
Mi naamini kocha kitu kikubwa endapo chama akicheza kama winga na saidoo akakaa pale kati.

Sema siku zote muunganiko ni jambo gumu sana endapo mchejazi hatoridhia kucheza nafasi ambayo kocha anataka acheze.
Sio kwamba chama haweza kuwa na impact kama zamani akicheza kama winga.

Sema ndo hivyooo madharau ukishawaka ndo huwa yanaleta yote hayo

Mi naamini kocha kitu kikubwa endapo chama akicheza kama winga na saidoo akakaa pale kati.

Sema siku zote muunganiko ni jambo gumu sana endapo mchejazi hatoridhia kucheza nafasi ambayo kocha anataka acheze.
Sio kwamba chama haweza kuwa na impact kama zamani akicheza kama winga.

Sema ndo hivyooo madharau ukishawaka ndo huwa yanaleta yote hayo
Chama hawezi kua bora atakua bora vipi wakati natural ni namba 10 unaanzaje na no 10 wawili kiasili halafu mmoja unamchezesha kama winga huku benchi kuna miqquesone na kibu ambao ni mawinga ??? Na sana muunganiko mzuri
 
Hilo jicho la kiufundi limefanya nini mpaka sasa kuna tofauti yoyote ya kiuchezaji huyo saidoo mapinduzi cup chama alikua hayupo uliona simba ilivokua inahangaika kupata matokeo

HATA LEO AKIJA KOCHA TOFAUTI MAN CITY HALAFU FROM NOWWHERE AKAANZA KUMPIGA BENCHI DE BRUYNE AU AKAANZA KUMCHEZESHA NAFASI TOFAUTI NA CITY WAKAWA WANAHANGAIKA KUPATA MATOKEO UNAFIKIRI WATU WATAKAA KIMYA

Kama anataka kutuaminisha saidoo ni bora basi tuone wote hata kitakwimu basi haiwezekani mtu mechi 15 kachangia goli 5 halafu kati ya hizo 5 goli 4 ni penalti na assist 1 tu halafu eti jicho la kiufundi
Mkuu tulia mpira hauendi kwa hisia za jirani,mpira ni ufundi zaidi
 
Nataka kuona mwisho wa msimu watamuongezea contract au watamnyima wakimuongezea bsi kunashidah kubwa sana ya kiongozi pale simba
 
Ni kweli mkuu basi kama ni hivo tuone outcome za huo ufundi ko timu kushinda inahangaika mnaona tatizo lilipo halitatuliwi halafu unasema ufundi
.
Ko ufundi ndo vile simba inavyocheza na inahangaika kupata matokeo kwa sasa au??
Mkuu tulia mpira hauendi kwa hisia za jirani,mpira ni ufundi zaidi
 
Mi naamini kocha kitu kikubwa endapo chama akicheza kama winga na saidoo akakaa pale kati.

Sema siku zote muunganiko ni jambo gumu sana endapo mchejazi hatoridhia kucheza nafasi ambayo kocha anataka acheze.
Sio kwamba chama haweza kuwa na impact kama zamani akicheza kama winga.

Sema ndo hivyooo madharau ukishawaka ndo huwa yanaleta yote hayo
Saido anawaza adribble na kufunga yeye,akikaa kati atatoa pasi kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom