Saikoloji ya Maisha ambayo unatakiwa Uielewe

Saikoloji ya Maisha ambayo unatakiwa Uielewe

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241112_082540_Google.jpg


Ni siku nyingine tena tupitie mambo ambayo hutufanya tujifunze namna ya kuishi na kuwa bora zaidi

Fahamu kwamba kama watu hawa kupendi basi jua unafanya mambo yako kwa usahihi,si unajua kuna ile mambo ya shule unasoma sana na kujituma utaambiwa "huyu nae anasomea kijiji" au unafanya kazi zako kwa bidii na kujituma utasikia "huyu nae kama boss ndugu yake

Kaa mbali na ugomvi wa wanandoa au wapenzi,kwasababu wanaweza kupatana mara moja,halafu kwako ikawa aibu

Fahamu kwamba usitegemee watu wafanye mambo ambayo wewe mwenyewe huwezi kufanya

Jiangalie wewe binafsi kwanza kabla huja wajaji watu wengine,jifanyie tathimini kwanza wewe binafsi halafu ndio uwe na jeuri ya kuwaongelea wengine

Siku zote usifikirie kwamba wewe una akili sana au mwerevu sana kupita watu wengine

Siku zote endelea kujifunza na kukua ili moyo wako uendelee kuwa mzuri

Hauwezi kuamua nani umpende ila unaweza kuhimili matokeo ya kumpenda mtu huyo

Ni hayo tu!
 
Nyongeza : ukitaka kuishi kwa furaha usiji_compare na watu wengine.
Iko hivyo yani boss wangu,na ukitaka kupata stress na kujiona umechelewa katika maisha basi jilinganishe na wengine,yani unaweza kujiona wewe ni mbwa

Kila mtu ana ridhiki yake na atafanikiwa kwa wakati wake,kwahiyo kuwa wewe kama wewe
 
Siku zote usifikirie kwamba wewe una akili sana au mwerevu sana kupita watu wengine
Sio applicable sehemu zote hii, kuna mahala ni lazima ujifanye una akili kuwazidi ili uwaongoze la sivyo utadharaulika.

Fahamu kwamba usitegemee watu wafanye mambo ambayo wewe mwenyewe huwezi kufanya
Kuna mambo wewe huwezi na wengine wanaweza, kubali hilo usaidike.
 
View attachment 3149899

Ni siku nyingine tena tupitie mambo ambayo hutufanya tujifunze namna ya kuishi na kuwa bora zaidi

Fahamu kwamba kama watu hawa kupendi basi jua unafanya mambo yako kwa usahihi,si unajua kuna ile mambo ya shule unasoma sana na kujituma utaambiwa "huyu nae anasomea kijiji" au unafanya kazi zako kwa bidii na kujituma utasikia "huyu nae kama boss ndugu yake

Kaa mbali na ugomvi wa wanandoa au wapenzi,kwasababu wanaweza kupatana mara moja,halafu kwako ikawa aibu

Fahamu kwamba usitegemee watu wafanye mambo ambayo wewe mwenyewe huwezi kufanya

Jiangalie wewe binafsi kwanza kabla huja wajaji watu wengine,jifanyie tathimini kwanza wewe binafsi halafu ndio uwe na jeuri ya kuwaongelea wengine

Siku zote usifikirie kwamba wewe una akili sana au mwerevu sana kupita watu wengine

Siku zote endelea kujifunza na kukua ili moyo wako uendelee kuwa mzuri

Hauwezi kuamua nani umpende ila unaweza kuhimili matokeo ya kumpenda mtu huyo

Ni hayo tu!

tendea wengine kama vile na wewe ungependa utendewe.

JESUS is Christ!
 
Punguza matarajio na samehe mara nyingi sana kuwa mfano wa Mungu.
Kweli kabisa matarajio yasipofikiwa unakuwa mwenye kukata tamaa sana,kwahiyo kikubwa kuwa na matarajio kiasi huku ukijua lolote laweza kutokea
 
View attachment 3149899

Ni siku nyingine tena tupitie mambo ambayo hutufanya tujifunze namna ya kuishi na kuwa bora zaidi

Fahamu kwamba kama watu hawa kupendi basi jua unafanya mambo yako kwa usahihi,si unajua kuna ile mambo ya shule unasoma sana na kujituma utaambiwa "huyu nae anasomea kijiji" au unafanya kazi zako kwa bidii na kujituma utasikia "huyu nae kama boss ndugu yake

Kaa mbali na ugomvi wa wanandoa au wapenzi,kwasababu wanaweza kupatana mara moja,halafu kwako ikawa aibu

Fahamu kwamba usitegemee watu wafanye mambo ambayo wewe mwenyewe huwezi kufanya

Jiangalie wewe binafsi kwanza kabla huja wajaji watu wengine,jifanyie tathimini kwanza wewe binafsi halafu ndio uwe na jeuri ya kuwaongelea wengine

Siku zote usifikirie kwamba wewe una akili sana au mwerevu sana kupita watu wengine

Siku zote endelea kujifunza na kukua ili moyo wako uendelee kuwa mzuri

Hauwezi kuamua nani umpende ila unaweza kuhimili matokeo ya kumpenda mtu huyo

Ni hayo tu!
ni kama hawa jamaa wa siku hizi wanaolalamikaa weee ili waonewe huruma, badala ya kuzidisha juhudi katika kufanya kazi na shughuli zao kwa weledi na mipango mikakati mbadala ya kuvutia wengi upande wao.

kila kitu wao ni kulalamika tu na imekua kama utamaduni na utambulisho wao kwa jamii sasa 🐒
 
Back
Top Bottom