Saikolojia: Namna ya kutambua tabia ya mtu

ewaaa kuumbee mie nipo kundi la kwanza mtukutu balaaa :hat:
 
mimi ni mpole na mkimia kwa kiasi sipendi kumuuzi mtu wala sipendi uonevu unaweza ukanifanyia mambo meng ya kuudhi nikanyamaza lakn nikija kuchoka kitu hunitoka balaa hadi huwa sijielewag lazma nikwambie
 
 
eeeh kweli huu ni mzizimkavu, ila una dawa ndani yake. mzizi unatisha!!!!!!!!1
 
 
I used to be this kind of person, hata mtu akiniudh vp siwez kukwambia nitaumia tu, nadhani nilikuwa na tabia ya uwoga, naweza kukuahid kitu ambacho najua siwez kukitimiza ila kwa kuwa umeomba au unahitaj basi nakubali moja kwa moja japokuwa sina uhakika kama nitafanya, ila baada ya ku ji socializ n jamii nikapat elimu tosha, japokuwa nilipita kwenye maumivu makali sana
 
Kidogo niangukie kwenye uhusiano wa kufunga pingu za maisha na mtu mwenye tabia za kwanza. Kilichonistua ni hiyo tabia ya "watangoja watu wengine wawepo ndiyo waanze kubwabwaja"...
 
mimi ni mpole na mkimia kwa kiasi sipendi kumuuzi mtu wala sipendi uonevu unaweza ukanifanyia mambo meng ya kuudhi nikanyamaza lakn nikija kuchoka kitu hunitoka balaa hadi huwa sijielewag lazma nikwambie

.
Wewe ni Mnyonge na wala sio mpole wala mkimya!
Na watu kama ww hutawaliwa sana na mawazo!

Na utaonewa mpaka mwisho
 
.
Wewe ni Mnyonge na wala sio mpole wala mkimya!
Na watu kama ww hutawaliwa sana na mawazo!

Na utaonewa mpaka mwisho

mimi si mnyonge ni mpole by nature am not talkative na hamna anayeweza kunionea mkuu
 
Mmh najihisi niko kundi la pili sijawahi kumnyooshea mtu kidole na sipendi tugombane hadharani ila nikichukia nina tabia ya kukushikia kiuno na kutaka nipewe maelezo ya kutosha ss sijuhi nipo kundi lipi #Mzizimkavu
 
Mmh najihisi niko kundi la pili sijawahi kumnyooshea mtu kidole na sipendi tugombane hadharani ila nikichukia nina tabia ya kukushikia kiuno na kutaka nipewe maelezo ya kutosha ss sijuhi nipo kundi lipi #Mzizimkavu

yani wewe upo kama mimi sipendi kugombana ila ukiniuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…