SAIKOLOJIA YA SOCCER: Mwenyekiti ajaye SSC upande wa wanachama atakuwa Muhindi

SAIKOLOJIA YA SOCCER: Mwenyekiti ajaye SSC upande wa wanachama atakuwa Muhindi

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mo ni mbinafsi,

Changu ni changu chako ni changu
Pesa yake ni yake, ila pesa inayopatikana SSC kama fungu la CAF au NBCPL pia ni yake,
Hii ni Falsafa yake,

Akisimama ktk camera husema simba ni yake,
Ana wajumbe wake kwenye bodi upande wa uwekezaji,
Wote ni watiifu kwake,
Wote wamejiuzuru,

Kachukua nafasi ya TRY AGAIN,
Kambakisha kama mjumbe au mwanachama,

Kizingiti ni Mangungu ambaye ni boss upande wa wanachama,

Kazi iliyopo ni kumtoa mangungu kisha kuweka mtu wake mtiifu upande wa wanachama,

This time atakuwa ni mwana familia (mhindi),
Na ataimiliki SSC kisheria,

Anaihitaji SSC kuliko kitu chochote,
Juisi zake, sabuni zake na mafuta havitauzika,

Atatumia kila njia atamtoa mangungu

Nawasilisha
 
Ndio maana mnaitwa mbumbumbu wewe unadhani tajiri hapa bongo ni mo peke yake?

Mbona Yanga walikuwepo akina Manji sasa hivi kuna GSM

Jamaa ndio maana anasema simba ni yake sababu ninyi ni mbumbumbu
Kama hufikii ubilionea ujue una hela ila siyo tajiri. Tajiri Kwa bongo hii ni mmoja
 
Na kampeni za kumuondoa Mangungu kwa zengwe naona zimepamba moto mpaka humu jukwaani. Ngoja tuone kama na yeye mwenyewe atakubali kirahisi tu kuondoa kwenye nafasi aliyochaguliwa na wanachama.
Tatizo la Mangungu ni kwamba hata kwa wanachama hana nguvu yoyote yaani wanachama ndo wanapanga waandamane atoke unadhani atashika wap?
 
si wanadai GSM anatoa pesa Mo hatoi ndo maana wamefanya vizuri sasa tutaona nani mbabe kati ya Mo na GSM

Ninachoamini MO atamsambaratisha GSM upesi
Mhindi unamfananisha na mwarabu?

Umeshawahi kumuona Gharib anapayuka kama Mo? Umeshawahi kumuona mtoto wa Azam anapayuka kama Mo?

Mo ni kama wahindi wengine, ni mjanja mjanja tu wala hana kingine!

Gharib kuna kipindi aliulizwa na mwandishi wa habari kuhusiana na Yanga akamjibu mimi sijui mambo ya Yanga, muulize engineer!

Mo anaihitaji Simba kuliko Simba inavyomhitaji Yeye.
 
Ndio maana mnaitwa mbumbumbu wewe unadhani tajiri hapa bongo ni mo peke yake?

Mbona Yanga walikuwepo akina Manji sasa hivi kuna GSM

Jamaa ndio maana anasema simba ni yake sababu ninyi ni mbumbumbu
Mkuu, unateseka ukiwa waaapiiii?
We' ni TOPOLO andamizi, hii timu mbona inakuumiza wakati haikuhusu?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
GSM ndio alichowaweza Yanga Rais wa wa Yanga ndio mwakilishi wa bosi ili ni bonge la bomu ambalo kwa sasa halionekani ila timu ikija kukosa ubingwa watu watakuja kuhoji na kujua kwamba klabu zetu bado Zina shida!
 
Kwani engineer hersi kabla ya kuwa kiongozi Yanga si alikuwa mfanyakazi wa GSM au mimi ndio sijaelewa kwasababu yule engineer pale kawekwa na GSM kwa maslahi yake binafsi sasa MO na yeye akimuweka mtu wake pale SIMBA kuna tatizo gani kwani.
 
Na kampeni za kumuondoa Mangungu kwa zengwe naona zimepamba moto mpaka humu jukwaani. Ngoja tuone kama na yeye mwenyewe atakubali kirahisi tu kuondoa kwenye nafasi aliyochaguliwa na wanachama.
Binafsi sikubaliani na hila za kumtoa Mangungu nje ya katiba. Wakitaka kumtoa wafuate katiba inasemaje
 
Kwani engineer hersi kabla ya kuwa kiongozi Yanga si alikuwa mfanyakazi wa GSM au mimi ndio sijaelewa kwasababu yule engineer pale kawekwa na GSM kwa maslahi yake binafsi sasa MO na yeye akimuweka mtu wake pale SIMBA kuna tatizo gani kwani.
Ulichokiandika hapa kina ukweli. Ila usichokifahamu ni kwamba Yanga walitumia njia rasmi ya kufanya uchaguzi. Hivyo na nyinyi mnatakiwa mtumie njia hiyo. Na siyo kumshinikiza Mwenyekiti wenu kujiuzulu.
 
Mo ni mbinafsi,

Changu ni changu chako ni changu
Pesa yake ni yake, ila pesa inayopatikana SSC kama fungu la CAF au NBCPL pia ni yake,
Hii ni Falsafa yake,

Akisimama ktk camera husema simba ni yake,
Ana wajumbe wake kwenye bodi upande wa uwekezaji,
Wote ni watiifu kwake,
Wote wamejiuzuru,

Kachukua nafasi ya TRY AGAIN,
Kambakisha kama mjumbe au mwanachama,

Kizingiti ni Mangungu ambaye ni boss upande wa wanachama,

Kazi iliyopo ni kumtoa mangungu kisha kuweka mtu wake mtiifu upande wa wanachama,

This time atakuwa ni mwana familia (mhindi),
Na ataimiliki SSC kisheria,

Anaihitaji SSC kuliko kitu chochote,
Juisi zake, sabuni zake na mafuta havitauzika,

Atatumia kila njia atamtoa mangungu

Nawasilisha
Noted with thanks
 
Mo ni mbinafsi,

Changu ni changu chako ni changu
Pesa yake ni yake, ila pesa inayopatikana SSC kama fungu la CAF au NBCPL pia ni yake,
Hii ni Falsafa yake,

Akisimama ktk camera husema simba ni yake,
Ana wajumbe wake kwenye bodi upande wa uwekezaji,
Wote ni watiifu kwake,
Wote wamejiuzuru,

Kachukua nafasi ya TRY AGAIN,
Kambakisha kama mjumbe au mwanachama,

Kizingiti ni Mangungu ambaye ni boss upande wa wanachama,

Kazi iliyopo ni kumtoa mangungu kisha kuweka mtu wake mtiifu upande wa wanachama,

This time atakuwa ni mwana familia (mhindi),
Na ataimiliki SSC kisheria,

Anaihitaji SSC kuliko kitu chochote,
Juisi zake, sabuni zake na mafuta havitauzika,

Atatumia kila njia atamtoa mangungu

Nawasilisha
Hiviii katika kumbukumbu zako Kuna mhindi amewahi kuwa na mafanikio ya ku run a football team?
 
This time atakuwa ni mwana familia (mhindi),
Na ataimiliki SSC kisheria,
Kama akichaguliwa na wanachama, hakuna shida. Kwani katiba inakataza mhindi au mwanafamilia wa Mo Dewji kugombea na kuchaguliwa? Kama unaona haifai, unaruhusiwa kumchagua mswahili, na kama huna sifa ya kuchagua, basi ukae tu kimya, waachie wenye sifa ya kupiga kura wataamua
 
si wanadai GSM anatoa pesa Mo hatoi ndo maana wamefanya vizuri sasa tutaona nani mbabe kati ya Mo na GSM

Ninachoamini MO atamsambaratisha GSM upesi
Muhindi na mwarabu nani bahili,,,ukitaka kuelewa vizuri angalia wafanyakazi wa Mo na wa GSM
 
Back
Top Bottom