Saimoni sayi " complex - wakilisha by professor jay .. ( verse)

Saimoni sayi " complex - wakilisha by professor jay .. ( verse)

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
PROFESOR JAY - NAWAKILISHA..

Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda ukakope/ unauliza nini jivukoni nilipowaziba babazoni / yeah!... babazoni Usoni vipi maji shingoni/ sema..!!.. P funk ......!!

Yeah naona vigongo wa chance Donge la wakaba Angani ninapoleta mambo haya/ mambo yangu si haba mwanga Course nyunyiza vina kwenye vibaba..

Marehemu saimoni sayi a.k.a complex - nawakilisha...

Studio Bongo Record.

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
images-32.jpg
 
Back
Top Bottom